Recent content by Fred Otieno

  1. F

    Wana Azania tukutane hapa

    Mna mkumbuka mzee Meja,na Kicheche,Mashanga hiyo ni miaka ya 1986
  2. F

    tuongee asubuhi star tv

    Ni kweli Chama changu kinakwepa sana nafasi kama hizi kutoa ufafanuzi muhimu kwa mambo muhimu yanayojiri.huyo Mkonda hana upeo mpana anapwaya sana kwenye hoja za msingi.
  3. F

    Mtwara kumekucha; Maandano ya kupinga kusafirisha gesi yaja

    kweli kumekucha nawatumia picha muda si mrefu
  4. F

    Ngoswe

    yule tarishi Onyango ndio aliharibu kila kitu alipokwenda kuchota umbea nyumbani kwa ngoswe. maana mama Tonge na Mazoea palikuwa haposhi
  5. F

    duh! bungeni tena.

    Issue zote amabazo ni tata na muhimu zimepelekwa mahakamani,huko zinachukua muda mreefu bila majibu ya haraka,lengo ni kuzuia mjadala wowote kuhusu madudu hayo.maana utajibiwa hilo swala lipo mahakamani haliwezi kuongelewa na mhimili mwingine.
  6. F

    Gabriel Zakaria on CCTV

    Jamani kiingereza sio lugha yetu wengi wetu tunajifunza,hata wao wakija kwetu kiswahili kinawasumbua,amefanya kwa uwezo wake na hiyo exposure adimu aliyoipata itamjenga siku zijazo,ni bora tumpe moyo ili siku nyingine akiitwa huko aweze kujumuika kwenye maada kwa ufasaha kwa lugha ya kugeni.
  7. F

    Huu sasa tuite nini?.....

    dada zetu angalieni wasije wakaja huku kuoa kumbe wanafata nyama.there are still many more To come.this is realy the end of the world.
  8. F

    Aiseh, Ni kaazi kweli kweli

    Kwamba kazaa na mzungu au vipi.funguka Kimanzichana.
  9. F

    CCM muondoeni mh lusinde livingstone kwenye kampeni arumeru

    Mmh hiyo comment ya Rev Mzito ni hatari maana sijawahi kuisikia wala kuiwazia .ila nimecheka sana baada ya kuangalia mahusiano ya ubongo na kila koungo cha binadamu.
  10. F

    Wazee sasa waingilie kati suala la Katiba Mpya

    Wazee wengi sasa hivi wana njaa sana wataangalia upepo ili waweze kunusuru matumbo yao kwa muda wao uliabaki kuishi,usitegemee jipya kutoka kwao.
  11. F

    Tumekubali kuolewa,kwa nn tuvae pensi ya jinzi?.

    Kweli kabisa kila kitu kiwe juu ndio tutajifunza ,maana kila siku wananchi wanalalamika hali ngumu halafu wao ndio wa kwanza kukumbatia udhalimu.
  12. F

    Family Photo

    unanikumbusha kitabu cha English ile chapter nine, Advanture of the Mahugu the hunter,
  13. F

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    DAVID WAKATI Kipindi cha nipe habari
  14. F

    Usalama wa ndege za Precision ukoje?

    kuna moja ya jumatatu asubuhi ikitoke dar to Mtwara ilikuinavuja sehemu ya mizigo ,maana baadhi ya mizigo ililowa kabisa. ni hatari sana hizi ndege
Back
Top Bottom