gbrother
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 408
- 51
Jamani mbona wazungu wakikosea kiswahili hatushangai.Lakini sisi tunavyokosoana mpaka aibu ungewekwa wewe tuone chako.
english ni lugha ya kimataifa, kiunganishi kikuu cha nchi ambazo hazitumii lugha moja, kwa hiyo lazima wadau wamchangae maana pale kuna wengi tu ambao wanaongea english kwa ufasaha,