AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Inanikumbusha Mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Safi Sana Mr Daudi
Wanaonekana a very happy family... Inapendeza kwa kweli....
Inanikumbusha Mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Safi Sana Mr Daudi
Mkuu wewe ni MkareeeeNimekumbuka kisa kimoja: Roza alikutana na rafiki yake Lucy; Mazungumzo yao yalikuwa hivi:
Lucy; Roza umefika Dar es salaam?
Roza: la sijapata kwenda, mjomba ameniambia Ijumaa nitakwenda naye Dar es salaam
Lucy: Basi ngoja nikuelezee. Dar es Salaam ni mji mkubwa sana, hakuna simba wala wanyama wakali kama huku kwetu.
Roza: Kuna nini zaidi
Lucy: Zipo nyumba ndefu na kubwa, magari, meli na magari ya moshi, pia maduka ni mengi.
Roza: Basi usiniambie mengi, nitakwenda kuona mwenyewe.
Lucy: Kwaheri Roza, msalimie kaka yako Juma na Rafiki yake Damasi.
inanikumbusha mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Safi sana mr daudi
na hii hapa ndo nikikumbuka najiona **** xana NAAPA NAAHIDI MBELE YA CHAMA, MAPINDUZI NITAKULINDA MPAKA KUFAA!Kitabu cha Juma na Roza mii nnacho pamoja na kile Bulicheka alivyokutana na mfalme Huihui wa Wagagagigikoko. Umenihuzunisha kwasababu nimekumbuka jambo baya ambalo ni hili. ZIDUMU FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI, SHIKAMOO MWAAAALIMU.
<br /><br />then Mwalimu jana kwa uzembe tu hakuita majina ..............leo anaita na kama jana ulikuwepo unatakiwa kuitika "jana na leo" na tulikuwa wakweli .......Ndaki Ndaki niliiitika Jana na Leo. <br /><br />
<br /><br />
then anaanza kufundisha, tunaimba ukurasa mzima.<br /><br />
<br /><br />
"HUYU NI BABA, BABA ANA NG'OMBE WAKE, NG'OMBE WAKE NI MWEUSI, BABA ANASEMA, KIMBIA NG'OMBE, KIMBIA UPESI, KIMBIA NYUMBANI, BABA ANA NJAA" mwisho wa passage.<br /><br />
<br /><br />
JUMA NA ROZA, DAMAS NA RUTH, SAFARI YA BURCHEKA NA MKE WAKE LIZABETA ...............................Mzee wewe ni mkali!