F Fred Otieno Member Apr 8, 2007 17 3 Mar 14, 2012 #3 Kwamba kazaa na mzungu au vipi.funguka Kimanzichana.
NdasheneMbandu JF-Expert Member Jan 2, 2012 940 308 Mar 15, 2012 #6 Kimanzichana said: Click to expand... Kwa kweli wanapendeza.
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Mar 15, 2012 #7 Fred Otieno said: Kwamba kazaa na mzungu au vipi.funguka Kimanzichana. Click to expand... Kitu kama ni albino
Fred Otieno said: Kwamba kazaa na mzungu au vipi.funguka Kimanzichana. Click to expand... Kitu kama ni albino
Shine JF-Expert Member Feb 5, 2011 11,481 1,364 Mar 15, 2012 #8 Ublack wa mamaye ndo unamfanya mtoto aonekane mweupe zaidi afu hii picha kama imeeditiwa vile
Z zayat JF-Expert Member Dec 29, 2010 337 42 Mar 15, 2012 #9 hii nikuhakikisha kama mungu yupo na kila analo tenda halina makosa
Pindima JF-Expert Member Aug 16, 2011 347 81 Mar 16, 2012 #13 Buruburu said: Click to expand... Hapa mshkaji kaibiwa!!
lukindo JF-Expert Member Mar 20, 2010 8,466 9,028 Mar 17, 2012 #14 wanasema kisayansi kuwa a the blacks are dominant gene na ndio maana mzungu hawezi kuzaa mtu mweusi lakini mweusi anazaa mweupe. Kwa maana rahisi ni kuwa wazungu wametokana na waafrika
wanasema kisayansi kuwa a the blacks are dominant gene na ndio maana mzungu hawezi kuzaa mtu mweusi lakini mweusi anazaa mweupe. Kwa maana rahisi ni kuwa wazungu wametokana na waafrika
M Mrdash1 JF-Expert Member Sep 21, 2010 1,375 336 Mar 17, 2012 #17 Buruburu said: Click to expand... Wana sura za kinigeria, halafu wanavyohusudu mzungu!!!! Angalia familia ina piga picha na mwanasesele wa kizungu
Buruburu said: Click to expand... Wana sura za kinigeria, halafu wanavyohusudu mzungu!!!! Angalia familia ina piga picha na mwanasesele wa kizungu
Mtagwa lindi JF-Expert Member Mar 12, 2012 311 96 Mar 17, 2012 #18 Hyo mtoto wa masai kapakwa langi au albino?
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Mar 17, 2012 Thread starter #19 White Mommy, White Daddy, Black Baby (Family Tree) - YouTube
Dunda kwetu JF-Expert Member Oct 3, 2011 265 37 Mar 17, 2012 #20 Unayashangaa ya mungu hali ni yeye ndie alie kuumba