Mtwara kumekucha; Maandano ya kupinga kusafirisha gesi yaja

Status
Not open for further replies.
Maandamano halali, makubwa na ya kihistoria
yanatarajia kufanyika Alhamis hii tar
27.Disemba.2012 kupinga GESI isiondoke Mtwara
ikiwa GHAFI. Maandamano yataanzia maeneo ya
Mtawanya saa tatu asub. Mlioko Newala. Masasi,
Tandahimba, Nanyamba. maeneo ya Lindi na Kwingineko tuungane kutetea maendeleo ya KUSINI
kwa ujumla.
wakitaka gesi isije dar basi waikatae na ccm, vinginevyo wanajisumbua. as long as ccm is in power gasi itafika dar na mradi huu umeshaanza utekelezaji wake.
 
wakitaka gesi isije dar basi waikatae na ccm, vinginevyo wanajisumbua. as long as ccm is in power gasi itafika dar na mradi huu umeshaanza utekelezaji wake.

ikatailwe mara ngapi????
 
ss hatupingi watanzania wenzetu wasipate umeme toka mtwara.tunachotaka ni kwamba umeme utoke mtwara had dar na sio gesi ghaf.hii itasaidia pia mikoa ya kusini kuingia ktk grid ya taifa.na mkumbuke miaka ya 60 kulikuwa na reli toka mtwara hadi nachingwea serikal ikaindoa sjui waliipeleka wapi! Bandar yet nayo imeuzwa!!tunasema sasa basi imetosha.

Mkuu reli aikuondolewa ya Mtwara tu hata ya Singida iling'orewa, kama nakumbuka vizuri reli ilijengwa na wakoloni ili hiwe inasafirisha Karanga zilizokuwa zinalimwa huko na kampuni ya Kingereza mambo yalipo waendea vibaya kampuni ilifilisika - sasa reli ikaonekana aina faida tena.

Nimeshangaa kuona baadhi ya watu wakipendekeza eti gas hiwe inasafirishwa kwa meli au malori kuja DAR! Tukumbuke kwamba wawekezaji katika nyanja za umeme wana angalia mambo mengi, uwezi kuwalazimisha wapi pa kuweka mitambo yao ya kuzalisha umeme - DAR ndio penye viwanda vingi vinavyo hitaji matumizi ya gas na actually kuna mipago wa kusafirisha gas kwa njia ya bomba mpaka Mwanza, leo hii mtu anakuwa na mawazo eti wenye viwada wawe wanafuata gas Mtwara kwa kutumia malori na meli hii inaingia akilini kweli???

Labda niongezee kwa kusema gas aituiki viwandani na uzalishaji umeme tu inatumika vile vile majumbani wanahitaji matumizi ya gas kwa kup[ikia - nchi za Ulaya kwa mfano, gas inasambazwa majumbani kwa kutumia mabomba kama yanayo tumika katika usambazaji wa maji, hakuna anaye kwenda kununua cylinder za gas - sasa hivi kuna kampuni ya kichina imekuwa contracted na TPDC kuangalia uwezekano wa kusambaza gas majumbani DAR kwa kupitisha kwenye mabomba.

Malalamiko yenu mengine yanashangaza kidogo - mbona niliwahi kuona mtambo midogo ya gas ya kuzalisha umeme kwa ajili ya watu wa kusini imefungwa pale Songas - walikuwa wanasambaza umeme vijijini lakini kwa raia wenye nyumba za bati sio nyasi - sasa mnataka Serikali inafanye nini cha ziada. Hata wakiweka mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme pale Mtwara, Mtwara kama Mtwara itanufahika kivipi na Mitambo hiyo!!

Kwa leo sitazungumnzia kuhusu Bandari ya Mtwara, matatizo yake hayana tofauti na Bandari ya Tanga - bila ya kuwa na mizigo ya kupakia/kupakuwa Bandari si inabaki dormant tu muda wote - sasa hilo unaweza kumlahumu nani?
 
Maandamano halali, makubwa na ya kihistoria
yanatarajia kufanyika Alhamis hii tar
27.Disemba.2012 kupinga GESI isiondoke Mtwara
ikiwa GHAFI. Maandamano yataanzia maeneo ya
Mtawanya saa tatu asub. Mlioko Newala. Masasi,
Tandahimba, Nanyamba. maeneo ya Lindi na Kwingineko tuungane kutetea maendeleo ya KUSINI
kwa ujumla.

itapendeza sana kama yatafanyika wilaya zote za mkoa wa mtwara
 
Mtwara ni kwetu na Gesi ni yetu, watuachie wenyewe!!!!!!!

Nakubaliana na wewe 100%, lakini mkuu mbona gas hiyo ilikuwa chini ya aridhi 4 centuries on end bila ya kuchimbwa!! Sasa wakija watu wenye fedha zao, mitambo na utaalamu wa kuichimba gas - raia wa kawaida unawezaje kuwa na ubavu wa kuwakomalia na kuwambia wafanye nini wahache nini? Sana sana utasema walipie mirahaba na kodi Serikalini.
 
ndio mtuache na uajabu wetu. hv serikali ni nan? Rais,mawaziri na wabunge bila wananchi?


WAKO MMAHE ANEYO MAHILI TEH LIMBULUNGA CHIHI??AVE NA CHANI??
NNEKE NA UKAVE NA LIPAMBA,,GESI IKANAMBE HUKA NDULU,,

NASHANGAA LEO WATU KUSIMAMA KIDETE KUPIGANIA HAKI YETU ETI TUONEKANE WA AJABU??KISA NINI ETI
ETI ANASEMA GESI YA SERIKALI??SERIKALI IPI??
YA CCM?GESI HII SIYO YA MAFISADI,NI MALI YA WANANCHI,TUNATETEA YALIYOTOKEA HUKO KWINGNE YASIJIRUDIE NA KWETU

GESI KWANZA,MTWARA KWANZA :blah: :blah: BAADAE
 
mkuu reli aikuondolewa ya mtwara tu hata ya singida iling'orewa, kama nakumbuka vizuri reli ilijengwa na wakoloni ili hiwe inasafirisha karanga zilizokuwa zinalimwa huko na kampuni ya kingereza mambo yalipo waendea vibaya kampuni ilifilisika - sasa reli ikaonekana aina faida tena.

Nimeshangaa kuona baadhi ya watu wakipendekeza eti gas hiwe inasafirishwa kwa meli au malori kuja dar! Tukumbuke kwamba wawekezaji katika nyanja za umeme wana angalia mambo mengi, uwezi kuwalazimisha wapi pa kuweka mitambo yao ya kuzalisha umeme - dar ndio penye viwanda vingi vinavyo hitaji matumizi ya gas na actually kuna mipago wa kusafirisha gas kwa njia ya bomba mpaka mwanza, leo hii mtu anakuwa na mawazo eti wenye viwada wawe wanafuata gas mtwara kwa kutumia malori na meli hii inaingia akilini kweli???

Labda niongezee kwa kusema gas aituiki viwandani na uzalishaji umeme tu inatumika vile vile majumbani wanahitaji matumizi ya gas kwa kup[ikia - nchi za ulaya kwa mfano, gas inasambazwa majumbani kwa kutumia mabomba kama yanayo tumika katika usambazaji wa maji, hakuna anaye kwenda kununua cylinder za gas - sasa hivi kuna kampuni ya kichina imekuwa contracted na tpdc kuangalia uwezekano wa kusambaza gas majumbani dar kwa kupitisha kwenye mabomba.

Malalamiko yenu mengine yanashangaza kidogo - mbona niliwahi kuona mtambo midogo ya gas ya kuzalisha umeme kwa ajili ya watu wa kusini imefungwa pale songas - walikuwa wanasambaza umeme vijijini lakini kwa raia wenye nyumba za bati sio nyasi - sasa mnataka serikali inafanye nini cha ziada. Hata wakiweka mitambo mikubwa ya kuzalisha umeme pale mtwara, mtwara kama mtwara itanufahika kivipi na mitambo hiyo!!

Kwa leo sitazungumnzia kuhusu bandari ya mtwara, matatizo yake hayana tofauti na bandari ya tanga - bila ya kuwa na mizigo ya kupakia/kupakuwa bandari si inabaki dormant tu muda wote - sasa hilo unaweza kumlahumu nani?


huna hoja na unatoa povu tu hapa

kama nawewe ni miongoni mwa wale waliochukua 10% kwa ajili ya kuiuza gesi hii na kwenda kuiweka huko uswiss utajua cha kuwapa hao maboss wako

lia ikibid pasuka tuh,ngoma ishanoga sasa
tutaona mwisho wake,wewe rasimu ya sheria ya gesi ya wizara ya nishati na madini umeisoma??umeielewa??umeona ujanja ujanja na ubabaishaji na uwongo kwa wananchi uliopo kwenye rasimu ile??au unaongea tuh kwa sababu unaamua kuongoea
nonsense..
 
nakubaliana na wewe 100%, lakini mkuu mbona gas hiyo ilikuwa chini ya aridhi 4 centuries on end bila ya kuchimbwa!! Sasa wakija watu wenye fedha zao, mitambo na utaalamu wa kuichimba gas - raia wa kawaida unawezaje kuwa na ubavu wa kuwakomalia na kuwambia wafanye nini wahache nini? Sana sana utasema walipie mirahaba na kodi serikalini.


mzgo huu unaouweka hapa tafadhali hapa sio mahala pake

hapa pamekaa watu wenye akili zao na fikra zao,,mizigo kama hii unayoibandika bandika hapa jamvini

sisi wenzako huwa tunaidondosha chooni,,umeskia??

Haja zako zitafute mahala pa kuziweka na sio hapa kwa great thinkers
 
Naona kuna ushamba kidogo hapa wa Gesi ya asilia. Gesi haisafirishwi na matenka kama mafuta sasa mnataka Gesi iende vipi kwenye matumizi ya nyumba zaidi ya pipeline. Kwa matumizi ya nyumbani Gesi inabidi kusafirishwa kwa pipeline lakini kwa kupekeza nchi za nje wawekezaji watajenga kituo cha kuifanya gesi kuwa liquid na kuishafirisha nje hii itajegwa hukohuko inakotokea ni miradi tofauti. Gesi ya Dar ni kwa matumizi ya umeme na nyumbani tu.
Sio kweli.
 
DSC02574.JPG


Kazi ilishaanza huko
 
Hivi Ben Saa Nane na Juliana mnakumbuka walisema Kuna Bavicha Masalia kwenye huu Mpango wa Gesi
 
Mkutano umeisha,kimeundwa kikosi kazi kinaenda kwa '''jk'' tumekubaliana tarehe 25 january 2012,watarudisha majibu kwa wananchi ambapo kutakuwa na maandamano tena
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom