Sipendi kuwa mnafiki
Ila chadema kimepoteza ushawishi 50% kwa watanzania
Najua mtabisha ila mtajione kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na mwakani uchaguzi mkuu
Ilibaki kidogo nikachome cheti changu Cha lugha,,,
Jamaa katafsiri uongo halafu anakuja kulia Lia na hao ndo unakuta wanapelekwa kudiscus policy na contract za nchi[emoji23]
No one is perfect na kama ukigundua hilo inakua juu yako kuchagua upande either wa mazuri au wa mabaya so wanaompenda usiwajudge eti kwasababu wanakipenda unachokichukia that iz all aboout life
Thats true..Watu waseme ukweli tu kuwa bei zipo juu serikali ifanye mpango mazao yashuke but hiyo itamuumiza sana mkulima aliyenunua mbolea 120k afu aje kuuza mahindi 40k itakuwa si haki acha vita ya ukraine ituumize wote....Mfuteni mkulima machozi atoke kwenye kilio cha samaki basi daah
wanabodi salaam.
Naomba msaada kwa anayejua jinsi ya kurekebisha taarifa kwenye form ya maombi ya kazi za sensa,,, mistake imefanyika kwenye email account hivyo pasword and username sijapata..
Naomba kwa anayejua anisaidie plz
Sorry kama utaboreka lakini nisaidiwe jamani
All in all nimempenda Kibatala nadhani ni miongoni mwa mawakili makini hapa nchini. Kesi yenye mashtaka magum kama hii kwa upande wangu ameimudu vizuri kwakweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.