Capt. Ibrahim Traore: A Slave who does not rebel doesn't deserves Pity

Capt. Ibrahim Traore: A Slave who does not rebel doesn't deserves Pity

Ni kwamba kingereza shida kaka au?
Mtumwa ambaye hana lengo au mpango wa kupambania uhuru wake kwa njia yoyote hapaswi kuonewa huruma.

Hakuna haja ya kumpambania mtu ambaye hataki kupambaniwa, ni rahisi kama hivyo

Au uliona hio quote ukakimbilia kufungua uzi?
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.

Dogo yupo sahihi na Nina muunga mkono
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.
Hii imeenda
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.

Africa ni kama mwanamke yaani kila mtu anakula mzigo kwa wakati wake! Africa, wamekula wazungu wa magharibi weeee, kwa sasa wanakula wachina na warusi, na waarabu wanapiga jaramba kwa kwa karibu.
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.
Ficha ujinga wako.....acha mihemko ya kike
 
Ni kwamba kingereza shida kaka au?
Mtumwa ambaye hana lengo au mpango wa kupambania uhuru wake kwa njia yoyote hapaswi kuonewa huruma.

Hakuna haja ya kumpambania mtu ambaye hataki kupambaniwa, ni rahisi kama hivyo

Au uliona hio quote ukakimbilia kufungua uzi?
Ilibaki kidogo nikachome cheti changu Cha lugha,,,

Jamaa katafsiri uongo halafu anakuja kulia Lia na hao ndo unakuta wanapelekwa kudiscus policy na contract za nchi[emoji23]
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.

Papai jingine hili. We unaona kile waniger wanachofanyiwa na ufaransa ni sawa?
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.
Lumumba alikuwa na tatizo gani?
 
Huyu dogo wa Burkinafaso bangi na ujana vinakusumbua yaani ana mihemko ya umri.

Yaani mtumwa Uasi harafu utake kuonewa huruma? Hizo ni bangi za Burkinabe ni Kali kuliko za Arusha.Mtumwa ukiasi stahiki Yako ninkitanzi.

Putin na Wagner acheni kuharibu Vijana Wetu,huyu dogo analaumu Wazungu na Viongozi wa Afrika kwamba ni ma pappets wa Wazungu wakati na yeye anafanya vile vile kuwa pappet wa Russia.

Mpaka hapo anapata wapi jeuri ya kuponda wenzie? Mihemko kama hii ndio ilifanya kina Sankala,Lumumba na wengineo kupotea kwenye uso wa Dunia.



My Take
Dogo atulie aache mihemko, watu wanahitaji ustawi wa Maisha yao sio misemo na nahau, atakuja kufanywa vibaya.

Asante Ngugi
 
Back
Top Bottom