Kama kawaida ya serikali hii sikivu, baada ya kuchakachua matokeo ya kidato cha nne 2012 , sasa wamehamia kidato cha pili ...wameshusha alama hadi wastan wa alama 20, kama haitoshi wakasema basi wote waingie kidato cha tatu. wakati hili likifanyika wakuu wa shule wameamriwa kuwasimamia walimu...
Ni vyema mtoa taarifa ungetoa taarifa kamili za huu msiba ili niweze kushiriki na wanafamilia, ndugu, marafiki na jamaa. Kama huna weka chanzo cha habari hizi ili niweze kufuatilia taratibu za msiba.
Sasa nimekubali kumbe barca ni timu ya kuogofya, kufungwa kwao kumeweka "headlines", ila naamini there is no condition which is permanent. Ikumbukwe kuwa ubora wa barca ndo umechangia madrid, chelsea, celtic, ac milan kujiandaa vyema na kuwa makini uwanjani..na hatimaye kupata ushindi.
ninachojua mimi ni kulipia ada ya rufaa, kama elfu 20 hivi, ila kwa taarifa zaidi fungua www.necta.go.tz utapata taarifa kamili. pole sana heri angefeli somo lingine tofauti na somo la ualimu hyo ni total disqualification.
Wadau poleni na pilika za maisha ya kila siku. Nilisikia oral interview imefanyika kwa watu wa janitor wiki iliyopita, naomba kujua kwa wale walioitwa kama na wale wa post za ma-warden waliitwa pia au bado?
Nawasilisha.
Mkiwa kwenye ndoa tayari ni mwili mmoja, hivyo hata mke ana nafasi ya kuwaambia hao mawifi zake juu ya yale ambayo ni kero kwake, mambo ya kumtegemea mme tu ndo atoe sauti, huo tayari ni ubaguzi wa kindugu unakuwa ukifanyika.
Daaaaaaaaaaah, eti wamepanga kizota, kweli wamechapika, kampuni gani serious ikawa kizota. sasa wewe wapigie simu uwambie upo kizota kituo cha msimbazi, then wakuelekeze, ila uwe na police kabisa
Wenye taarifa wadau kama huku kuitwa kwa mafungu kumekamilika. Napenda kujua kwa walioomba nafasi college za education na government and leadreship kama wameitwa nao. nawasilisha
Nashukuru kwa taarifa, ila sijakuelewa vizuri umesema kuwa leo ni zamu ya tutorial assistants, so ni wote au wengine wataitwa siku zitakazofuata? wewe uliomba kwennye college ipi mkuu?
Nawasalimu wana JF,
Kuna mtu alinijulisha jana kuwa kwa wale ambao wame be shortlisted wangeanza kupigiwa simu leo, na usaili utaanza jumatatu ijayo. Naomba kujua kama kuna mtu amepigiwa simu siku ya leo.
Asanteni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.