Salaamu zenu wadau!
Nimepata barua kutoka watu wanajiita EUROPEAN & AFRICAN DEVELOPMENT FOUNDATION (INC)
(East Africa Ltd), kwa kazi niliyo apply hapa Dodoma.
Nitaifupisha kama ifuatavyo.
MEMORANDUM
TO..............................
You have been short listed to the post you applied.
Please fill the attached form and send to us immediately so that we call you for a brief interview and scrutiny of your certificates and fill in EMPLOYMENT CONTRACT FORMS.
You will have to send by VODACOM M.PESA Tsh. 14,000/= to the Assistant Director Mr.Peter Johson to his number 0766-729552 before you return/post your form.
The salary scale of your post ranges from
Tsh. 420,000--560,000 for Certificate holders.
Tsh 520,000--680,000 for Diploma holders
Tsh 660,000--875,000 for degree holders.
MANAGEMENT
TEL 0682910448
Hiyo ni barua yao,na moja ya vipengele vilivyopo katika form yao vinasema ni ivi:-
ALLOWANCES.
a)Travel allowance.
The company will pay for your journey to the place of work posted.
b)Up-keep allowance.
The company will pay for 7days hotel accomodation and meals at the rate of Tsh 30,000/= per day,total Tsh 210,000/=
c)Advance of salary.
The company will advance you Tsh 300,000/= which will deducted from your Basic salary for 3 months at the rate of Tsh 100,000/= per month.
You will be given Contract forms for you to fill in regard to your job you have applied and thus been selected.
My take:-
Hii kampuni haina physical address.
Je wadau mnaijua hii kampuni?
Nimejaribu kuwapigia simu wanadai hawajapata jengo la kudumu kuweka ofisi zao mjini, ila kwa sasa wapo ktk nyumba ya kupangisha eneo la kizota.
Je hawa ni matapeli wa mjini au wako serious?
Nimepata barua kutoka watu wanajiita EUROPEAN & AFRICAN DEVELOPMENT FOUNDATION (INC)
(East Africa Ltd), kwa kazi niliyo apply hapa Dodoma.
Nitaifupisha kama ifuatavyo.
MEMORANDUM
TO..............................
You have been short listed to the post you applied.
Please fill the attached form and send to us immediately so that we call you for a brief interview and scrutiny of your certificates and fill in EMPLOYMENT CONTRACT FORMS.
You will have to send by VODACOM M.PESA Tsh. 14,000/= to the Assistant Director Mr.Peter Johson to his number 0766-729552 before you return/post your form.
The salary scale of your post ranges from
Tsh. 420,000--560,000 for Certificate holders.
Tsh 520,000--680,000 for Diploma holders
Tsh 660,000--875,000 for degree holders.
MANAGEMENT
TEL 0682910448
Hiyo ni barua yao,na moja ya vipengele vilivyopo katika form yao vinasema ni ivi:-
ALLOWANCES.
a)Travel allowance.
The company will pay for your journey to the place of work posted.
b)Up-keep allowance.
The company will pay for 7days hotel accomodation and meals at the rate of Tsh 30,000/= per day,total Tsh 210,000/=
c)Advance of salary.
The company will advance you Tsh 300,000/= which will deducted from your Basic salary for 3 months at the rate of Tsh 100,000/= per month.
You will be given Contract forms for you to fill in regard to your job you have applied and thus been selected.
My take:-
Hii kampuni haina physical address.
Je wadau mnaijua hii kampuni?
Nimejaribu kuwapigia simu wanadai hawajapata jengo la kudumu kuweka ofisi zao mjini, ila kwa sasa wapo ktk nyumba ya kupangisha eneo la kizota.
Je hawa ni matapeli wa mjini au wako serious?