Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
....huyu mzee hajawahi kuusikia ule msemo, "...be careful what you wish for!"...
Mke msomi anaweza kuwa chachu au chungu kwenye ndoa yako kwa sababu zilizo nje ya uwezo wako,
mfano akiwa ni mtumishi wa umma, mbunge, nk, nk....yeye siku zote yu kwenye semina, vikao, safarini tuu...
Ridhika na maajaaliwa yako bana.
Ndugu yangu Mbu,
Wishes do cost nothing.
Hata hivyo ni human nature kutamani kile ambacho hakuweza kukipata.
Ila hii wish yangu inatokana curiosity na kushindwa kupata majibu ya hii phenomenon ya kuwaogopa wanawake wasomi. Halafu mbaya ni kwamba, wengine tumehangaika sana kuhakikisha wake zetu wanapata elimu ya kutosha ili wajitegemee kwa vitu vyao muhimu...
Kaka, inakera sana kama ukiwa na mwanamke ambaye anakuomba kila kitu hata hygiene towels!!
Babu DC!!