naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Ni jambo la ajabu na la kushangaza serikali kushindwa kulipa wafanyakazi wake mpaka kufikia kukopa bank za ndani,utendaji wa sasa wa serikali kushindwa kusimamia ukusanyaji wa mapato na matumiz mabaya ya serikali ndo uliopelekea ghali kuwa hivi,miradi mingi ya barabara imesimama pia,uchumi umedora,mfumuko wa bei uko juu,serikali ipunguze gharama za anasa kama safari za nje za viongozi wetu,ununuzi wa magari ya kifahari!nchi imefilisika...
Nawasilisha
Nawasilisha