TANZIA: Bi Kidude afariki dunia!

TANZIA: Bi Kidude afariki dunia!

Ni vyema mtoa taarifa ungetoa taarifa kamili za huu msiba ili niweze kushiriki na wanafamilia, ndugu, marafiki na jamaa. Kama huna weka chanzo cha habari hizi ili niweze kufuatilia taratibu za msiba.
 
Mungu ailaze mahali atakapotaka roho ya marehemu bi kidude.
 
Ni vyema mtoa taarifa ungetoa taarifa kamili za huu msiba ili niweze kushiriki na wanafamilia, ndugu, marafiki na jamaa. Kama huna weka chanzo cha habari hizi ili niweze kufuatilia taratibu za msiba.
acha uvivu,pitia wadau wameweka vyanzo kibao!kama vp toka hata hapo nje utapata habari au fungua facebook utakuta,alaa
 
Sisi ni wa mwenyezi Mungu ni kwake tutarejea!
 
Apumzike Kwa Amani (A.K.A)
Rest in Peace (R.I.P)
Daima nitakumbuka nyimbo zako: MHOGO WA JANG'OMBE; YALAITI; AHAMADA kwa kuzitaja kwa uchache.
 
kama ni kweli R I P Bi kidude Mungu akupumzishe kwa amani
 
R.I.P Bi kidude,ulikuwa na mziki mzuri sana,serikali ijitahidi iandae sera ya wasanii maana bi kidude alianza mziki 1920,miaka 93 iliyopita,lkn wanasiasa wanafanya siasa miaka 10 wanakuwa mabilionea!
Japokuwa alishirikiana na offside trick lakini uwepo wake kwenye wimbo wa Ahmada ulisaidia
kuwa wimbo ulio angaliwa zaid kutoka Tanzania una views zaid ya 1,200,000 kwenye you tube
 
Back
Top Bottom