Recent content by felix J.N

  1. F

    David Kafulila anaoa leo 22/11/2014

    hongera yako kaka
  2. F

    Sakata la mtoto "kuteswa", polisi yapanga hiki

    kiongozi nimepata taarifa mda huu mtoto kafariki je ni kweli?! mwenye uthibitisho nahili atujuze ne
  3. F

    Maswali kumi kwa David Kafulila kuhusu IPTL

    angekuwa natamaa angewafichua mliochukua mgawo!! rudisheni pesa zetu
  4. F

    Maswali kumi kwa David Kafulila kuhusu IPTL

    wewe unahoja gani kumuita kafulila mchumia tumbo.
  5. F

    Maswali kumi kwa David Kafulila kuhusu IPTL

    peleka upuuzi wako huko tunataka pesa zetu zirudi
  6. F

    CHADEMA yanunua wagombea wa CUF

    kata ya nyamalobe!!!! ilianza lini?? jamani usifikiri jf ni mazuzu nenda kapeleke umbea huo kwingine hii ni seheme ya the great thinkers only!.
  7. F

    JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

    ndungu pongezi sana kwa kazi nzuri.... ila umakini unatakiwa katika matembezi yako wahuni wasije wakakuuwa tukakosa mtu muhim kama wewe katika kupigania tanzania yetu mpya. jumapili njema!.
  8. F

    Nchi ipo katika hali ya tahadhari, Jumatano ni lazima watu wajiuzulu

    inawezekana mbona kwa LOWASSA aliruhusu wakati ni waziri mkuu na walikuwa wameshibana sana.... sema tusubili matokeo
  9. F

    Nchi ipo katika hali ya tahadhari, Jumatano ni lazima watu wajiuzulu

    hayo maneno baba mwenye nyumba apiyasema lini?? pia ni lini anatarajia kulihutubia bunge. akifanya maamuzi hayo atastaafu vizuri sana.
  10. F

    Mahakama yaingilia Bunge kuzuia suala la Escrow lisijadiliwe!

    kilichoripotiwa na kaka ni kweli kabisa na yeye hajaongeza neno ndivyo hivyo ilivyo lakini kesho itaendelea kama mbinu hiyo ya kuzuia imefanikiwa au laah.... nawabunge wameishangaa mahakama kuingilia shughuli za bunge na mwisho ndugai akasema anamnukuu sitta wakati yupo kwenye kiti kwamba...
  11. F

    Mwambusi kaachia ngazi MCC FC

    duuuh kila lakheri but you still the best mwambusi
  12. F

    Wenye uwezo wa kufundisha, njoni tuchape kazi

    tuwasiliane ndugu yangu 0718 094993
  13. F

    Natafuta kijana wa kusimamia biashara

    ndugu nina vigezo vyote ila ni mvulana umri 26. nitafurahi nikifanikiwa. 0718094993
  14. F

    School agent

    wizi mtupu.... kwa hiyo hata kama shule haina ubora mnaangalia masirahi hamuoni hiyo mbinu inaingia kwenye wizi wa kuaminiwa. kikubwa chakuwashauri mjipange kuanzia chakula na maradhi halafu muweke walimu wenye ushindana ambao wataleta matokeo mazuri. baada ya kuona matokeo tutawaleta wenyewe...
Back
Top Bottom