steveson manumbu.Well Said Brother.
Last edited by a moderator:
Vijana wa jf acheni kudanganywa,kuna watu hapa kwa macho ya haraka haraka ukisoma post zao utaona wanaponda,kwa bahati mbaya jf kunakasumba ya kuangaliziana cha kupost akiponda wakwanza kwenye post angalau watakaofuata nao wataponda.kilichotokea kunawatu wanaponda lakini wameni P.M,sasa kuna wale ambao wao hawajitambui wao ni kugeza tu kilakitu.utakuta watu kama hao wanakaa kwa dadazao,pc yenyewe anayotumia kulogin jf ni ya shemeji,kwenye mambo ya msingi hao ndo wanakua wa kwanza kutukana na kubeza watu mitandaoni,why.? simply kwa sababu hawalipi bills so hawajui maana ya kuhustle.vijana tubadilike.
Kama hii ni pre application letter basi umeishafeli wangu.
Vijana wa jf acheni kudanganywa,kuna watu hapa kwa macho ya haraka haraka ukisoma post zao utaona wanaponda,kwa bahati mbaya jf kunakasumba ya kuangaliziana cha kupost akiponda wakwanza kwenye post angalau watakaofuata nao wataponda.kilichotokea kunawatu wanaponda lakini wameni P.M,sasa kuna wale ambao wao hawajitambui wao ni kugeza tu kilakitu.utakuta watu kama hao wanakaa kwa dadazao,pc yenyewe anayotumia kulogin jf ni ya shemeji,kwenye mambo ya msingi hao ndo wanakua wa kwanza kutukana na kubeza watu mitandaoni,why.? simply kwa sababu hawalipi bills so hawajui maana ya kuhustle.vijana tubadilike.
Kila siku njia za kutafuta wanawake zinaongezeka, tangazo la kazi haliwezi kuwa kihuni hivyo. UHUNI TU
hahhhahhaah unajua waatu wanafanya masiala wakati awzi jua kama bahati yake itakuwa hapoKama hii ni pre application letter basi umeishafeli wangu.
Kwahiyo kama mwarabu sisi tufanye nini? mpuuzi sana wewe.. huo ni ubaguziMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ni muaminifu natafuta kazi ni mwarabu nimemaliza chuo cha jk computer systeams kazi ya certificate naamini ni muadilifu