Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,573
Huyu Jessica Kishoa no yule kamanda wa chadema aliyetukanwa na mwigulu mchemba? ?? Au
Ndio Mwenyewe Tumbiri kajichukulia!
Huyu Jessica Kishoa no yule kamanda wa chadema aliyetukanwa na mwigulu mchemba? ?? Au
filikunjombe nae...hana pozi la picha kabisa,
Huyu Jessica Kishoa no yule kamanda wa chadema aliyetukanwa na mwigulu mchemba? ?? Au
filikunjombe nae...hana pozi la picha kabisa,
Hongera Kafulila
Hongera sana,
Na mimi nikukumbushe kitu Bwana Harusi Kafulila, mwambie my wife wako kuwa "wewe ni public figure na mwanasiasa,kuanikwa na kusemwa ovyo, kuchimbwa na kuzomewa ni sehemu ya maisha,kwa hiyo awe tayari"
Hongera sana,
Na mimi nikukumbushe kitu Bwana Harusi Kafulila, mwambie my wife wako kuwa "wewe ni public figure na mwanasiasa,kuanikwa na kusemwa ovyo, kuchimbwa na kuzomewa ni sehemu ya maisha,kwa hiyo awe tayari"
Hee! Anaoa kabla kaka yake Zitto hana hata mchumba?
Hongera sana mtu akipata mke amepata kitu chema
You are not doing justice to him. Why call him a tumbili pasipo hata kuweka neno tumbili kwenye inverted commas? It is not fair.
filikunjombe nae...hana pozi la picha kabisa,
Silinde anamke na watoto mapacha.Anawahamasisha Zitto na Silinde nao waingie kwenye ndoa.
Vv
Wewe ni mtu wa matukioMtoto atakayezaliwa aitwe Escrow bila kujali ni wa kike au wa kiume maana hiyo akaunti haikuwa na ubaguzi wa jinsi.