Recent content by Fascination

  1. Fascination

    Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

    Habari, Natafuta chumba maeneo ya kijiweni, madukani, mugabe na shekilango au nyuma ya ubungo plaza....ni chumba kimoja, kiwe karibu na barara ya shekilango bajeti 50,000/ kama kipo
  2. Fascination

    Wanawake haya "mawigi" yanatakiwa yakae siku ngapi kichwani?

    Unakuta nywele ngumu kabisa mtu anaing'ang'ania kichwani inakuwa sasa kama brush ya kutolea buibui, ukichanganya na harufu inayotoka kichwani balaa tupu
  3. Fascination

    Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    deonova, Asante, nimekuelewa mkuu...ikiwa haonyeshi kuridhika na mimi kuondoka katika kampuni je? Na tarifa tayari nimeshatoa
  4. Fascination

    Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Habari mkuu, naomba ushauri kuhusu suala langu hili, Mimi ni mfanyakazi katika kampuni binafsi...nimefanya kazi mwaka mmoja na nusu na katika kipindi hicho sikupata mkataba wa ajira licha ya kuomba mara nyingi kupewa mkataba na nyongeza ya mshahara, kwa bahati nyingine nimepata nafasi ya kazi...
  5. Fascination

    Ushauri: Aendelee na nternship au anatafute kazi kwingine?

    Habari zenu humu ndani, kwa wasomi wote na walioajiriwa kuna kijana mwenzangu msomi kidogo, alifanikiwa kupata nafasi ya kufanya kazi/kujifunza (internship) katika kampuni fulani hapa mjini dar es salaam. Sasa kwa muda wote huu wa miezi 11 amekuwa akifanya kazi na kujifunza(internship) huku...
  6. Fascination

    Tigo wameondoa vifurushi vya chuo

    Duhh...haipo kweli, ila itarudi maana ilishawahi kutoonekana kama hivi halafu baadae ikarudi Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Fascination

    Nafasi ya kazi.

    Kwa yeyote anayehusika Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Fascination

    Pale akili ya mwanaume wa Dar inapofika mwisho

    Bila shaka ni wa huko kweli Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Fascination

    Pale akili ya mwanaume wa Dar inapofika mwisho

    Kabisa yani, tena sijui wa mkoa gani Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Fascination

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    Fascination Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Fascination

    EATV mnakoelekea mnatia aibu sana!!!

    Jamaa miyeyusho tuu na leo katupia (kanyela mumo) Sent from JamiiForum Mobile App
  12. Fascination

    Wadada wa kazi kwanini siku hizi hawakai?

    Mnaweza kuwa mnamuhudumia vizuri tuu mahitaji yote, ila sasa kwa tabia zenu wenye nyumba ndiyo sababu....huenda mmoja kati yenu (wanandoa) anamfanyia mwenzake usaliti halafu dada wa kazi nae anafahamu na huenda anashuhudia vitendo vinavyofanyika, kwa fedheha hiyo kama ana ustaarabu hawezi...
  13. Fascination

    Leo ni siku ya Nyoka duniani, tuwalinde na kuwatunza. Happy world Snake

    Wasanii wenyewe wanaocheza na nyoka...huwa wanagopa kwa tahadhari kubwa.. Post sent using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom