Back || backBila kuisahau #City_Sound ya Seki.
Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Back || backBila kuisahau #City_Sound ya Seki.
analiwaa yule mkuu hamna asiyemjuaa mtoto wa kino yaan shimo la wengiSio Sam Misago,
Kuna mpuuzi flani hivi ambaye ukimwona tu ni lazima uutilie mashaka mfumo wake wa fikra kichwani!
aiseeee yule ni mbogaa yao namjuaa vizurr saaanaaaa yaaan saaana 100%Sio Sam Misago,
Kuna mpuuzi flani hivi ambaye ukimwona tu ni lazima uutilie mashaka mfumo wake wa fikra kichwani!
yule jamaa sio bure wanampakua,ngoja nisubiri nione leo kama atakuwepo,ilu niache kuangalia rasmi
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Vipi vya shilawadu au?Moja ya vipindi vya tv ambavyo huwa hata sina wazo la kuviona ni pamoja na hiki FNL, baada ya kugundua ni ujinga tu uliopo humu, niliacha mazima, saizi ni kuangalia vipindi vya kiutu uzima tu
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Nenda you tube,live streamingNi nani huyo,weka picha tumuone sisi wengine huku kijijini hatuna Tv
Kwani Sam misago hameacha kazi EATV?????Moja ya vipindi vya tv ambavyo huwa hata sina wazo la kuviona ni pamoja na hiki FNL, baada ya kugundua ni ujinga tu uliopo humu, niliacha mazima, saizi ni kuangalia vipindi vya kiutu uzima tu
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Kiukweli sisi wabongo sijui ni ajeee...tuna wivu kinoma.. Jamaa pamoja na mapungufu yao wanafanya vizur sana.. Big up FNLWivu wa kijinga ndo unatugharimu bongo aisee, jamaa yuko powaah tu kakaeni nyie Ile nafasi baasi