Kwa mahitaji ya nyumba au chumba cha kupanga Mwenge, Sinza, M/nyamala na Mbezi

Hii ni moja ya sekta nyeti sana ambayo inatakiwa kuunganishwa na uhamiaji, usalama wa taifa, TRA na wizara ya lukuvi. Watu wanapiga kazi wanapata hela bila kulipa kodi, wengine ndo hivyo tena wageni wanakuja wanaishi bila vibali etc.

Serikali ikishatia pua lake humo gharama za nyumba zitazidi kupaa. Madalali watataka madau makubwa ya udalali. Masuala ya kiusalama yamalizwe na mtandao wa serikali za mitaa kwa kushirikiana na wenye nyumba. Kila mwenye nyumba apewe jukumu la kukusanya taarifa na picha za wapangaji wake na kuziwasilisha serikalini.

Mwenye nyumba ndiye anayesaini mkataba na mpangaji. Hivyo ana mamlaka kamili ya kumbana.
 
Mkuu,chumba,sebule choo ndani kwa ndani na Luku ya pekeangu maeneo ya mwenge au viunga vyake napata kwa shingap kwa mwezi? Kuwe na Silingbod au gypsumboard na kiwe na rangi na tiles
Vinaanzia 200k to 300k kulingana na ubora wa nyumba
 
VP maeneo ya Kimara suka,over,Kimara,korogwe,bucha,baruti naweza kupata chumba na sebule kwa bei gani
 
Hii ni moja ya sekta nyeti sana ambayo inatakiwa kuunganishwa na uhamiaji, usalama wa taifa, TRA na wizara ya lukuvi. Watu wanapiga kazi wanapata hela bila kulipa kodi, wengine ndo hivyo tena wageni wanakuja wanaishi bila vibali etc.
Hapa huwaoni wakichangiia ila ulichosema ni ukweli mtu sekta hii imeficha mengi na sijui why serikali inashi dwa kuchukua kodi yake hapa inahangaika na magari tu.
 
Back
Top Bottom