Maisha aliyokuwa anaishi hayana tasiwra ya toto wa mkulima wa kitazania. Mkulima wa Tanzania anatembeleaa
V8?? Hakuwahi kuishi kama mkulima ndiyo argument yangu hiyo
Mbona mi nagonga mambo hadi dakika 45? Halafu najiskia kawaida tu? Mtoto anapewa dudu mpaka anasahau kwao. Kesho saa moja asubuhi anagonga mlango nimfungulie
Nashangaa povu linamtokan kwani details za CAG zimemtaja mtu? Nope ila zimeelezea matukio ya kifusadi yaliyofanywa na NSSF. Kwa akili ya kawaida tu, Arusha Hek moja inayzwaje kwa Bilioni moja na milioni mia nane? Mtalia lia sana ila ndo iinakula kwa baba zenu
Bob kwenye muziki wake alikuwa anawafumbua macho watu wengi wa dunia ya tatu kiasi kwamba baadhi walishaanza kustuka. Nyimbo zake nyingi nilikuwa zinapinga ubeberu, ubepari na uonevu. Kumbuka miaka ya 80 ndiyo mabeberu walikuwa wanajaribu kusambaza itikadi zao. Kaa chini usome vizuri na kwa...
Ana hasira kinyama, juzi kakimbilia Ufaransa makao makuu ya Total kuomba bombs lipitie kwaonwakamtosa. Tunasubiri sijui atakuja na mpya gani HE Presdent Freedom
Hii itasaidia kuokoa kizazi cha Kazi cha vijana. Najua bado watakunywa ila itakuwa kwa kujificha ficha angalau spidi itapungua. Ile kitu ni gongo live kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.