Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
kama ndivyo ni sawaHajapiga marufuku uuzwaji wa viroba bali uuzwaji wa viroba kwenye maduka
kama ndivyo ni sawaHajapiga marufuku uuzwaji wa viroba bali uuzwaji wa viroba kwenye maduka
katumia mamlaka yapi kikatiba?????... Hao wenye biashara yao wakimshtaki itakuwaje??... I guess wanalipa kodi kihalali na hawana mipaka ya maeneo,muda au mikoa ya kufanya biashara zao..... Naomba maelekezo tafadhaliMkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amepiga marufuku uuzwaji wa kilevi aina ya kiroba katika mkoa huo.
Alisema uamuzi huo unatokana na vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa kushindwa kufanya kazi na kulewa wakati wa kazi.
Aidha mkuu huyo wa mkoa alisema anafanyia kazi sakata la mkazi wa Kata ya Ngarenaro anayedaiwa kujihusisha na uuzaji na uingizaji wa dawa za kulevya ambaye baada ya kukamatwa na polisi aliachiwa katika mazingira ya kutatanisha.
Ntibenda alisema hayo jana Arusha wakati akizungumza na watendaji wa serikali za mitaa 154, maofisa watendaji kata 25 pamoja na wenyeviti wa serikali za mitaa.
Alisema suala la kilevi aina ya kiroba ni kero kwa vijana kufanya kazi wakiwa wamelewa au kuwa navyo mifukoni hasa madereva wa pikipiki, daladala na wapiga debe.
Alisema kutokana na vijana kunywa kinywaji hicho nyakati za kazi, amepiga marufuku uuzwaji wa kilevi hicho, atakayekiuka agizo hilo hatua za kisheria zitachukuliwa.
“Sitaki kuona viroba vikiuzwa katika Mkoa wa Arusha na atakayekiuka nitamchukulia hatua za kisheria, lakini huyu anayeuza dawa za kulevya halafu polisi wanamwachia na wananchi hawajui kwanini anaachiwa huku akiendelea kuuza dawa, sasa nasema mwisho wake umefika, nitafuatilia kwa makini suala hili.”
Baadhi ya wenyeviti wa serikali za mitaa walihoji sababu za kutokuwa na ofisi za kufanyia kazi badala yake wanalazimika kutumia nyumba zao au kukodisha ofisi ili kufanya kazi za jamii lakini pia hawana posho za vikao.
Wenyeviti hao akiwemo Amani Mwakalinga wa mtaa wa Darajani na Hilary Mkonyi wa mtaa wa Ngarenaro, walisema awali Mkurugenzi wa Jiji, Juma Idd aliahidi kuwajengea ofisi lakini hadi sasa hakuna utekelezaji.
“Sitaki kuona viroba vikiuzwa katika Mkoa wa Arusha na atakayekiuka nitamchukulia hatua za kisheria",
Zidumu Fikra za Mwenyekitinenda shule wewe hata hamlingani, hebu na wewe toa amri uone kama itajadiliwa humu
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda amepiga marufuku uuzwaji wa kilevi aina ya kiroba katika mkoa huo.
Alisema uamuzi huo unatokana na vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa kushindwa kufanya kazi na kulewa wakati wa kazi.
Aidha mkuu huyo wa mkoa alisema anafanyia kazi sakata la mkazi wa Kata ya Ngarenaro anayedaiwa kujihusisha na uuzaji na uingizaji wa dawa za kulevya ambaye baada ya kukamatwa na polisi aliachiwa katika mazingira ya kutatanisha.
Ntibenda alisema hayo jana Arusha wakati akizungumza na watendaji wa serikali za mitaa 154, maofisa watendaji kata 25 pamoja na wenyeviti wa serikali za mitaa.
Alisema suala la kilevi aina ya kiroba ni kero kwa vijana kufanya kazi wakiwa wamelewa au kuwa navyo mifukoni hasa madereva wa pikipiki, daladala na wapiga debe.
Alisema kutokana na vijana kunywa kinywaji hicho nyakati za kazi, amepiga marufuku uuzwaji wa kilevi hicho, atakayekiuka agizo hilo hatua za kisheria zitachukuliwa.
“Sitaki kuona viroba vikiuzwa katika Mkoa wa Arusha na atakayekiuka nitamchukulia hatua za kisheria, lakini huyu anayeuza dawa za kulevya halafu polisi wanamwachia na wananchi hawajui kwanini anaachiwa huku akiendelea kuuza dawa, sasa nasema mwisho wake umefika, nitafuatilia kwa makini suala hili.”
Baadhi ya wenyeviti wa serikali za mitaa walihoji sababu za kutokuwa na ofisi za kufanyia kazi badala yake wanalazimika kutumia nyumba zao au kukodisha ofisi ili kufanya kazi za jamii lakini pia hawana posho za vikao.
Wenyeviti hao akiwemo Amani Mwakalinga wa mtaa wa Darajani na Hilary Mkonyi wa mtaa wa Ngarenaro, walisema awali Mkurugenzi wa Jiji, Juma Idd aliahidi kuwajengea ofisi lakini hadi sasa hakuna utekelezaji.
bora amesema mpate cha kuandikaNauliza:
1.Viroba ni Biashara haramu au halali?
2.Kama halali,je kuna mamlaka yeyote anapewa RC kupiga marufuku biashara halali katika mkoa wake?
3.Je wenye biashara hawawezi kumfungulia mashitaka ya kuwahujumu ktk biashara yao?
4.Hizi kampuni zinalipa kodi au lah?
5.Kama zinalipa kodi na MaRC wote wakapiga marufuku ktk mikoa yao itakuwaje?
6.Je ni hatua gani kali za kisheria atachukuliwa yule ambaye atakiuka agizo hilo?
7.Je akishinda kesi na kudai fidia,nani atalipa?
8.Je hii ni sera nzuri kwa wawekezaji?
....hicho kinachopigwa marufuku na chenyewe kimeshamiri, sasa sijui unaandika upumbavu gani !? mzee74Napinga amri ya mkuu wa mkoa.Haya ni maamuzi ya kisiasa ambaya hayajafanyiwa utafiti wowote.Upigaji marufuku wa biashara ya ukahaba na unywaji wa madawa ya kulevya haujasaidia chochote katika kupunguza haya matatizo bali kuyachochea tu.Kabla ya mwaka 1933 Marekani ilikuwa ina sheria inayopiga marufuku unywaji wa pombe ila ikafutwa baada ya kuoneka kuwa inazidi kuchochea ulevi na uhalifu.
Madhara ya kupiga marufuku viroba yanaweza kuwa yafuatayo
1.Kushamiri kwa biashara ya magendo ya viroba
2.Kushamiri kwa uhalifu unahohusiana na biashara ya magendo ya vilevi
3.Kuingizwa sokoni kwa pombe haramu zisizo na viwango
4.Kushamiri kwa dawa za kulevya.
5.Kuongezeka kwa unyaji wa viroba.
6.Watu kuvunja sheria ili kupata viroba.
7.Kupoteza chanzo cha kodi na ajira kwa watu
Kwa kifupi upigaji marufuku wa viroba unaweza kuzua matatizo mengine na bila kuongeza nguvu kazi yoyote iliyotarajiwa.Tunahaja ya kufanya utafiti kabla ya kukurupuka.Ni vema watu wangeelimishwa madhara ya viroba na wakaaachwa wafanye maamuzi ya kunywa ama kuacha wenyewe ili maradi tu hawavunji sheria zingine za nchi.
Kuna baadhi ya nchi zinafikiria kuruhusu biashara ya ukahaba na ata uvutaji bange ili kupunguza haya masuala.
Hujanisoma.Ndio kimeshamiri.Ila usidhani kitapungua kwa sababu kimepigwa "ban".Haya ni maamuzi ya kisiasa tu kutafuta kick binafsi.....hicho kinachopigwa marufuku na chenyewe kimeshamiri, sasa sijui unaandika upumbavu gani !? mzee74
View attachment 335568
....kwahiyo ulitaka wapewe chachandu na malapu lapu ili wa-enjoy vizuri !?, kitu kilichopigwa marufuku kinazidi vipi wakati viwanda vinajulikana ?Hujanisoma.Ndio kimeshamiri.Ila usidhani kitapungua kwa sababu kimepigwa "ban".Haya ni maamuzi ya kisiasa tu kutafuta kick binafsi.