How long DOES sex Normally long?

How long DOES sex Normally long?

Mbona mi nagonga mambo hadi dakika 45? Halafu najiskia kawaida tu? Mtoto anapewa dudu mpaka anasahau kwao. Kesho saa moja asubuhi anagonga mlango nimfungulie
 
Kwa hali hiiii wanaume tunafikia hatua ya kunywa paka jiki sasa ili kuchelewa kufika kileleni....dk 45 kama ww siyo mwanamazoezi na unakula chips yai au chai ya rangi sonski kwako mvua....plz Dont try this at home mapenzi siyo vita ya kagera me naaamini demu ukimuanda vizuri ukimpa touch za maaana za kina king mswati tako 10 tuu yy wa siku nyingi. Na usingizi hapo hapo
 
Kwani ishu ya kukaa dakika au masaa kadhaa kwani kuna mashindano ?
Kitu cha muhimu ni kila mmoja aridhike bhaasi .
Kama binadamu tunavyotofautiana basi hata muda hauwezi kuwa sawa .
NDO CHA MUHIMU unaweza tamia katika kinena kumbe mwenzako hata hisia zishakata kitambo
 
Nimewahi kufika saa moja but its true kwamba ki afya hiyo sio health. Maxm isizidi nusu saa.
 
sawa wewe ni wadarisalama au mkoa? unauwezo wa kusugua dk ngapi
Kiongozi, mtu wa umri wangu kuulizwa swala muda juu ya kinena...mmmh!
Labda ingekuwa kuridhishana ndio ningeona mantiki ya swali, naamini anaridhika, nami naridhika.
Hili swala la udarisalama au umkoa...mmh, nawe umeingizwa kwenye mitego ya watoto?
 
yani kina messi neymar na suarez wanaangaika kutafuta magoli kwa dk 45 na wewe unaangaika kumchimba mwenzio kwa hizohizo dk kwa hakika huu si uungwana kabisaa
 
Back
Top Bottom