Nipo single kama ndonga,
Wanaojitahidi kuchana nawashona,
Wagonjwa wahip hop tayari washapona,
Nawaacha mababy boy wanapaka poda,
Wachawi kutwa hawachoki kuwanga,
Hawaeliwi kabla na tangu nimejipanga
*Jah Salu* wanabaki wakitamani jina,
Wengine eti sijui kupanga vina.
Natembeza ka kichapo,
Walio zoea vya dezo
Wanakula msoto getto,
Kama unataka bero,
Njo nako 2 nako,
Weka mbali beto,
Wakali wa kamchezo,
Leta mashauzi uguswe jicho,
Hip hop c nguzo tano,
Ni zaidi ya michano,
Na mawaki hawanamsimamo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.