Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,012
- 11,698
tif tif cha we ni mlezi unaye shindia viazi na hauna kaziYap yap yap walezi/
Tunashindia viazi/
Sababu ya wazazi/
Tunayapenda malezi/
Yasio ya kipuuzi/
Geto letu la mianzi/
Tumeezeka kwa magunzi/
Hivi mnasikiliza au mnatoa ushuzi/???????
na usithubutu kuwa panya road maana nakujua we ni mpuuzi
sitokuchana sana nakuhuruhia utakija umwa kwa over dozi
mi humu ndiye elephant wao wengine wote ni kima cha mbuzi
ila nakushauri usibattle tena jifue kwanza upate maujuzi