Recent content by Enzi na Enzi

  1. E

    JamiiForums Tanzania Wakati saruji Kenya ikiuzwa Tsh 12,000/=, Tanzania inauzwa Tsh 24,000/=

    12000 ktsh 12000Tsh Chukua shilingi ya kenya upate change ya tsh. Ndo ujue cement yetu iko chini kuliko ya kenya. Hao bodaboda ulioona wanakwepa kodi ya aliyenunua mzigo huo ambao uliona km cement kumbe nimzigo mwingine.
  2. E

    JamiiForums Tanzania Rais kukaa Chato ni gharama kwa Taifa

    Vizuri ni gharama ndg. Acha alindwe kwa gharama yoyote. Huyo nimkombozi wa watanzania zaidi ya ml.50
  3. E

    JamiiForums Tanzania Kwa aliyefika China anisaidie kujibu hili swali

    Hivi katika miji ya China na viunga vyake, Je! Kuna barabara, chuo, au kitu chochote chenye umaarufu kilichopewa jina la kiongozi yoyote au Mtanzania kama ishara au kumbukumbu ya urafiki wetu? Nawasilisha tafadhari. Enzi na enzi.
  4. E

    JamiiForums Tanzania Simbachawene aagiza kukamatwa kwa Askari 5 wa Uwanja wa JNIA kwa uhalifu wa kusafirisha binadamu

    Safi sana! Mahabusu ya nyakato mwanza yaangaliwe watu wanakalishwa humo kwa nguvu ya ocs.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Jafo apiga marufuku Wakala wa Majengo Tanzania kupewa kazi Halmashauri ya Buchosha

    Ifutwe, na mishahara wapunguziwe.
  6. E

    JamiiForums Tanzania Tanzania Tujiandae na Utawala wa Joe Biden (Democrat)

    Chadema wanalalamika wizi wa kula hata ushahidi hawana. 19 bungeni Maarim nae ndani.
  7. E

    JamiiForums Tanzania Kwenye vilabu vya Simba na Yanga ni nani mwenye mamlaka ya kufukuza kocha au kuleta kocha mpya?

    Huyo kocha walichelewa ku fire!!
  8. E

    JamiiForums Tanzania Madudu ya Mhandisi Deusdedit Kakoko bandarini

    Naunga mkon Naunga mkono hoja.
  9. E

    JamiiForums Tanzania LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

    Unalilia nini? Mbona mifuko ya rambo tuliweza? Safi sana.
  10. E

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa wilaya ya nyang'wale na mkurugenzi wa halmashauli kisaidieni kijiji hiki.

    Nikijiji cha ifugandi kipo kata ya busolwa wilaya nyag'wale mkoa wa Geita Kijiji hiki kimekuwa kisiwa , barabara ni mbovu kufika wilayani au katani na kupata huduma za hospitali nk.
  11. E

    JamiiForums Tanzania Rose Garden: Bar inayopendwa na Majasusi

    Duh.....!
  12. E

    JamiiForums Tanzania Ufisadi jiji la Mwanza, Mwanasheria jiji Mwanza na wenzake wawili wapiga Tsh ML. 190

    Nahisi kuna upigaji mkubwa sana saivi! Waende na kwenye vivuko! Huko nako zinapigwa baraa
  13. E

    JamiiForums Tanzania Mapacha Waheshimiwa Kulwa na Dotto Biteko Leo Wanasherehekea Siku yao ya kuzaliwa

    Hongereeni na mungu awajaarie maisha marefu.
Back
Top Bottom