Hv shidaaaa nn mpaka mnakua.liaa ulitaka aend likizo europeLikizo ni siku ngapi kwa mwaka? Angalia kwa mwaka jana tu alikaa kwa siku ngapi Chato, hapo hujajumlisha zile za kulala kwenye mawe
Ziara kama ipi?Likizo hatuna shida nazo ishu ni hizi ziara ambazo sio likizo
Wewe endelea kuosha vibibi huko mambo ya tz hayakuhusuKaka mimi nipo huku kwa Malikia, nimesikia Tanzania kuna kaeneo kamejitenga na kuwa nchi inayojitegenea kanaitwa CHATO, hiz tarifa n za kwel ????
Hivi Magu anatumia gharama zaidi ya zile za Kikwete kwenda nje ya nchi kila mwezi?
Yani Magufuli kuwa chato ni gharama sana wakati ameokoa mabilioni kwakutosafiri nje karibu miaka 5?
Rudia vizuri kusoma utanielewa.Route zake zimekuwa nyingi huo utimamu gani anaoutaka kila siku unamaanisha hayupo fit kila siku anataka repair?
Rudia vizuri kusoma utanielewa.
Umewahi kujibu kabla hauja digest vizuri maelezo yangu.
Kwa hivyo ukiwa raisi kipindi chako chote ukiwa madarakani wewe mwenyewe 'familia yako, ndugu jamaa na marafiki' mnakuwa na kinga flani dhidi ya matatizo ya kidunia kama ya kiafya n.k?Nimekuelewa vizuri sana tu lakini mtu anayefit kuwa rais hawezi kuwa anasaka utimamu kila baada ya miezi miwili hata kama ni muajiriwa hapo ungetimuliwa
Si kila polisi wa police post anaweza kumlinda rais kuna special unit guards.Kwa upande wa gharama sidhan Kama ni issue, Kama ni polisi hata chato wapo. Jamaa hajawahi kusafiri hivyo ameokoa billions. It's a minor issue guys
Rais ni kiongozi siyo mfanyakazi ingawa analipwa mshahara kwa hiyo hana likizo ya siku kadhaa kwa mwaka kama wafanyakazi ila akichoka kuteua na kutengua anaweza kwenda kokote kupumzika kwa muda anaoona unafaa.Kwahiyo asiende likizo kwao kama mkataba wa kazi unavyotoa siku 30 za likizo kwa mwaka!?
Rais wetu ni mchapakazi mzuri mwacheni aende chato kila mara hamchoki kuzungumza kuhusu chato hayo ni mapenzi yake lazima aende kwao kusalimia ila tu asisahau majukumu aliokabiziwa na wanyonge wa hali ya chini watanzania kuleta maendeleo kwa kila mtanzania.Kama anatekeleza majukumu yake ya Urais hiyo haiwezi kuwa likizo kwa kuwa alichokifanya hata makamu wa Rais angeweza kukifanya, hapo amekwenda Chato kusalimia na wakati huo huo anatekeleza majukumu yake ili mambo yaendelee kama kawaida vinginevyo angemwachia makamu wa Rais na Waziri mkuu kama kweli ni likizo kwa mujibu wa kazi.
Toka Rais Magufuli ameingia madarakani amekuwa na desturi ya kurudi nyumbani kwao Chato kila kipindi cha likizo yake kinapowadia.
Ni jambo zuri sana, ukilinganisha na wale waliokuwa kila kukicha wanasafiri kwenda nje.
Lakini swali kubwa lipo hapa, Ikulu ipo Dodoma, wafanyakazi wote wa ofisi ya Rais kwa sasa wanamakazi Dodoma, je anapoenda Chato gharama za malazi, chakula na fedha ya kujikimu nani analipia?
Gharama za kusafirisha polisi, wanajeshi na wafanyakazi wote wanaoambatana nae kwenda Chato nani analipia?
Tunakazana sana kulipa kodi kizalendo basi matumizi ya kodi zetu nayo yawe ya kizalendo. La sivyo tutatafutana ubaya.
Uko shihi kabisa. Nasikia walishaliona hilo siku nyingi na hivyo wana mpango wa kufanya utaratibu ili asiwe anaenda kabisa likizo mapumzikoni, bora awe anaenda nje kuepuka gharama. Kawaida hawa watu huwa hawaruhusiwi kurudi kwao mapumzikoni mpaka pale muda wao utakapokuwa umefikia ukomoNi jambo zuri sana, ukilinganisha na wale waliokuwa kila kukicha wanasafiri kwenda nje.