Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Kwa kipindi cha miaka minne chini ya rais Donald Trump pamoja na Republican party, viongozi wengi wa nchi zinazoendelea hasa madikteta, wameweza kuendeleza ukatili wao pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu bila wasi wasi kwani Rais Trump pamoja na Chama Chake waliligeuzia mgongo haya mataifa na viongozi sao.
Muda umefika. Tujiandae kwa rungu la Joe Biden na Democatic party. Tanzania tumenyooshewa idole karibia na kila mshirika wa maendeleo kutokana na shutuma kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja uchaguzi wa demokeasia, na bila shaka 2021, Tanzania itapitia wakati mgumu hasa viongozi wetu wakiwekewa vikwazo vya kila aina. Je Tumejiandaa kukabiliana na shinikizo za kimataifa?
Muda umefika. Tujiandae kwa rungu la Joe Biden na Democatic party. Tanzania tumenyooshewa idole karibia na kila mshirika wa maendeleo kutokana na shutuma kutokana na ukiukwaji wa haki za binadamu pamoja uchaguzi wa demokeasia, na bila shaka 2021, Tanzania itapitia wakati mgumu hasa viongozi wetu wakiwekewa vikwazo vya kila aina. Je Tumejiandaa kukabiliana na shinikizo za kimataifa?