kazi kweli kweli jamani,balozi ambazo hazina tija na maslahi kwa taifa hili zifungwe kwani ni hasara kuziendesha ukilinganisha na faida tunayopata kutoka mataifa hayo.
Kwa mujib wa Isango hali yake ina imalika kila dk hope atakuwa hewan next time kutujuza zaidi juu ya kesi hiyo wakati mwingine. pa1 sana wana jf wote. peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeez poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeerrr.
mawazo ni mazuri sana ju ya hii issue,swala la msingi ni kusubir na kuona viongoz wetu wa chama wameamuaje juu ya hili swala maana kiukweli limeteka hisia za watu na watu wapo makkini sana kuona viongoz wa chama wameamua nini. mungu ibariki chadema,mungu ibariki tanganyika
naingiwa na hofu juu ya huyu mtu,inawezekana ni mtu safi?kwa nin cdm hawajamshushua?pili kwa niniaseme wagombea wote ni wazuri kama hapend wananchi wanavyopewa misaada wakati huu wa uchaguz mdogo? sitaki kuamin kuwa jamaa kabadilika,kama ndio atwambie kilicho mbadilisha na mabaya ya ccm na sio...
kaka kweli ni tatizo,makosa yapo hapa. madereva wa magari wanawadharau sana hawa jamaa wa bodaboda,pili madereva wa bodaboda wengi hawajui sheria za barabarani na wanaharaka sana,tatu sisi abiria huwa tunachekelea tu hata kama dereva wa bodaboda anafanya ujinga akiwa kakubeba. issue ni abiria...
tundu lisu was right to walk out,we should be serious on this,tuache ushabiki usio na maana.taifa hili sio la ccm wala chadema ni letu sisi watanzania,ushabiki wa vyama kwenye issue za msingi ni ujinga na kuendekeza maslahi binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.