JK anamuandaa Edward Lowasa kuwa rais mwaka 2015

JK anamuandaa Edward Lowasa kuwa rais mwaka 2015

UKWELI MTUPU! hakuna uhasama kati ya hawa jamaa wawili,
tunafahamu kila mwisho na mwanzo wa mwaka JK lazima atinge
kula Nyama Choma ya Mbuzi pale "SOKO La VUMBI" Monduli kwa Mheshimiwa
Lowasa!

lakini kama atasimama huyu, ntampa "KULA" yangu!
 
Hii nchi ni ya CCM au ni ya wananchi wanaolipa kodi kila saa? Wananchi 2mechoka kuskia CCM! eti chama cha mapinduzi! Na chama cha mafisadi ni kipi?
 
Na hapo ndipo Shibuda atakapoukwaa urais kiulaiiiiniii!!
 
muanzisha thread hiyo inajulikana na nimeisha isema sana humu! na sina shaka na source
swala linalovuta sasa ni vyombo vya usalama
 
Kwa hawa marafiki wasiku nyingi inawezekana kabisa maana ukitaka kujua angalia bungeni huyu EL alivyo nanguvu je kwa makada wa CC sindo balaa?na kama aliweza kuachia uwaziri mkuu kwa kukingia bosi wake asiaibike basi lawezekana lolote naakiwa Rais hii nchi itaenda inakotakiwa kwenda ila tujue Upinzani utakufa na demokrasia itafifia hatataka kwanza kurudisha heshima kwanza iliyopotea miaka kumi!!lakini tetesi tusizibeze!!
 
Huna unalo fahamu wewe,nichoko kama machoko wengine Siyoi na Wasira,soko la vumbi una lijua wewe?mara ya mwisho Jakaya kuja Monduli anakumbuka ilikua lini na wapi?
 
kama ndo umejua leo basi mengi yamesha kupita...baba hao ndo BOYS TO MEN hakuna wakuwazuia,they have MONEY AND THE POWER and will rule this country for long....big up K-L-R!
 
Lisemwalo lipo,kama halipo laja,Naunga Mkono Hoja Hii inawezekana inaukweli Percent flani,Ila kama itakuwa Hivi bora tufanye mapinduzi Kama wenzetu Mali!Umefika Wakati sasa tuamke Watranzania!!Hawajamaa wanalindana na ukweli ndo huo!!Leo JK akikubali amwachie mtu mwingine Kiti itakuwa balaaaaa Richmond,Epaaa,Melemeta,....itakuwa balaaaaaa!!Angalizo kubwa nanwapa wana CCM huko twendako kunavijana wanakuja wenye nguvu na Ushawishi NMkubwa kwa jamiii hivyoooo wakae ChonjoooMmoja waooo ni Mnyika,Nasari,Zito,J Makamba!!
 
Kwa hawa marafiki wasiku nyingi inawezekana kabisa maana ukitaka kujua angalia bungeni huyu EL alivyo nanguvu je kwa makada wa CC sindo balaa?na kama aliweza kuachia uwaziri mkuu kwa kukingia bosi wake asiaibike basi lawezekana lolote naakiwa Rais hii nchi itaenda inakotakiwa kwenda ila tujue Upinzani utakufa na demokrasia itafifia hatataka kwanza kurudisha heshima kwanza iliyopotea miaka kumi!!lakini tetesi tusizibeze!!

hatokaa akanyage ikulu kama rais wa jamhuri ya Tz,atasubili sana,kwa jinsi alivyochafuka,hata wakimtumbukiza kwenye mtambo wa foma gold hawezi kung'aa wala kutakata kabisa ni mchafu,mchafu tu hata kma itakuwaje.
 
Kwa hawa marafiki wasiku nyingi inawezekana kabisa maana ukitaka kujua angalia bungeni huyu EL alivyo nanguvu je kwa makada wa CC sindo balaa?na kama aliweza kuachia uwaziri mkuu kwa kukingia bosi wake asiaibike basi lawezekana lolote naakiwa Rais hii nchi itaenda inakotakiwa kwenda ila tujue Upinzani utakufa na demokrasia itafifia hatataka kwanza kurudisha heshima kwanza iliyopotea miaka kumi!!lakini tetesi tusizibeze!!

hatokaa akanyage ikulu kama rais wa jamhuri ya Tz,atasubili sana,kwa jinsi alivyochafuka,hata wakimtumbukiza kwenye mtambo wa foma gold hawezi kung'aa wala kutakata kabisa ni mchafu,mchafu tu hata kma itakuwaje.
 
Back
Top Bottom