kibakiking
Senior Member
- Jan 6, 2011
- 101
- 8
hadema in supportiwa na wananchi wenyewe kaka
Homework ya leo.
Nani ana finance helicopter za CHADEMA?
Kwa kile kinachoonekana kuwa Rostam Aziz ameanza kuhofia Chadema kushinda 2015, ameiunga mkono moja kwa moja katika uchaguzi Arumeru. Rostam alitembelea kambi sita za chadema katika kata mbalimbali. Huwezi kuyaamini maneno haya ya Rostam. Nanukuu:
"...ninachoomba kwa wananchi wa hili ni kuhakikisha wanamchagua mbunge mwenye uwezo wa kuzungumzia hoja za matatizo yao bungeni na sio kushawishi kuchagua chama kama ilivyo mazoea ya watanzania"
"Wagombea wote ni wazuri lakini ninawasihi wananchi wa Arumeru wachoke kudanganywa wajitahidi kuchagua tumaini la maisha yao, waondokana na kasumba ya kugawiwa vitu bure kwa ajili ya kuchagua chama fulani, ndio maana ikaitwa demokrasia.
Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili kuhusu ujio wa Rostam, Dr Slaa alisema kitendo cha Rostam kutoa baraka kwa Nassari ni kutokana na kuzichoka siasa uchwara za CCM na kuzikubali siasa safi za Chadema.
Source.Dira ya Mtanz
My take, Rostam inaonekana anaiunga mkono chadema na nadhani anahofia itashinda 2015 hivyo ameanza kuwaunga mkono washindi tangia mwanzo
Jina la Rostam linauza magazeti hadi leo!
Kinyonga ana rangi ngapi.
wanachama wa CDM , kila mkutano linapitshwa kapu... nguvu ya uma ina fanya TUKU TUKU linakata mawingu... PEOPLE'ZZZZZZZZZZ power
"I fear the Greeks, especially when they bring gifts!".kuhusu rostam msimwamini hata kidogo...
CHADEMA ni pango la MAFISADI,lazima wakimbilie kwenye CHOO CHA KIKE a.k.a CHADEMA.CCM tumewasha moto ambao unasambaa kwa kasi ya GAMA RAYSKwa kile kinachoonekana kuwa Rostam Aziz ameanza kuhofia Chadema kushinda 2015, ameiunga mkono moja kwa moja katika uchaguzi Arumeru. Rostam alitembelea kambi sita za chadema katika kata mbalimbali. Huwezi kuyaamini maneno haya ya Rostam. Nanukuu:
"...ninachoomba kwa wananchi wa hili ni kuhakikisha wanamchagua mbunge mwenye uwezo wa kuzungumzia hoja za matatizo yao bungeni na sio kushawishi kuchagua chama kama ilivyo mazoea ya watanzania"
"Wagombea wote ni wazuri lakini ninawasihi wananchi wa Arumeru wachoke kudanganywa wajitahidi kuchagua tumaini la maisha yao, waondokana na kasumba ya kugawiwa vitu bure kwa ajili ya kuchagua chama fulani, ndio maana ikaitwa demokrasia.
Akizungumza na mwandishi wa gazeti hili kuhusu ujio wa Rostam, Dr Slaa alisema kitendo cha Rostam kutoa baraka kwa Nassari ni kutokana na kuzichoka siasa uchwara za CCM na kuzikubali siasa safi za Chadema.
Source.Dira ya Mtanzania.
My take, Rostam inaonekana anaiunga mkono chadema na nadhani anahofia itashinda 2015 hivyo ameanza kuwaunga mkono washindi tangia mwanzo
Na gazeti lenyewe la kuripoti hayo ni Dira ya Mtanzania!. Leaves a lot to be desired!.Alianza Maji Marefu, akaja Ole Sendeka sasa hivi ni Rostam. Lazima kuna kitu hawa jamaa wanakizungukia hapo.
Rostam hawezi kumsapoti mpinzani wa mkwe wa swahiba wake hata siku moja. Kuna mchezo hii mijamaa inataka kuucheza hapo Arumeru.