Mh.Halima Mdee,John Heche na Mh.Sungura waunguruma Chuo kikuu cha Mwenge-MOSHI

TEMILUGODA

JF-Expert Member
Feb 11, 2012
1,389
285
Pamoja sana wanaJf! Ni hapo jana waheshimiwa H.Mdee,Sungura,J.Heche na wengine kadhaa walitembelea tawi la CHADEMA la chuo kikuu cha Mwenge kilichopo Moshi.Walizngumza mengi,kwa Mdee; aliwataka BAWACHA wasiwe minofu kwani mbwa watawalamba na hatimaye vita dhidi ya rushwa itakuwa ngumu kwani wanawake CDM WANATAKIWA'KAMATA MWIZI MEEEEEEEN',wana CDM wote ni lazima kuunganisha nguvu katika chaguzi mbalimbali,hivi sasa tuunganishe nguvu pale Ar.mashariki ili ushindi upatikane tena kwa tofauti kubwa ya kura.Aliwataka walimu kuwa na ujasiri na kuacha woga kwani kwa hilo watawafundisha wanafunzi ujasiri badala ya kuwa waoga. Mwenyekiti wa BAVICHA mh.HECHE alikemea vikali juu ya propaganda za CCM za kukumbatia udini jambo ambalo litaliingiza taifa hili katika machafuko,hivyo ccm kipuuzwe kwa nguvu zote kwani kimeshajichokea,kiwekwe pembeni.MH.Sungura aliwataka wasomi wawe chachu ya mabadiliko katika jamii wanamoishi kwa kuwaelimisha wanajamii juu ya haki na mambo mengine ya uraia.Kwa ujumla ziara ya Makamanda hao ililenga kuhamasisha wanachama wa CDM katika tawi hilo kuu la vyuo vikuu mkoani K'njaro na kuzindua tawi la BAWACHA hapa chuoni, ambapo jumla ya sh.735,200/=zilichangwa kwa ajili ya maendeleo ya tawi hili.NAWASILISHA. Source: Mimi mwemyewe nilihudhuria mkutano huo
 
cogratulation
c

CHADEMA kamata mwizi meeeennnnnnnnnnnnn... kimbiza majambazi hayo sijui mapolisi hayawaoni majambazi haya ya ccm yanavyoua nchi.. polisi kamata weziiiiii haoooooooooooooooooooooooo
 
hawa makamnda wasianze kuleta mzaha wakati huu wa vita kule Arumeru kila sekunde ni muhimu sana muda wa kutembelea matawi upangwe tofauti na huu wa kampeni magamba wanahitaji nguvu ya pamoja kama wao walishindwa kuvuana cdm hakuna haja kuwavua ila kuwachinjia mbali kabisa, makamanda njooni muongeze nguvu hasa week hii ya mwisho
 
hawa makamnda wasianze kuleta mzaha wakati huu wa vita kule Arumeru kila sekunde ni muhimu sana muda wa kutembelea matawi upangwe tofauti na huu wa kampeni magamba wanahitaji nguvu ya pamoja kama wao walishindwa kuvuana cdm hakuna haja kuwavua ila kuwachinjia mbali kabisa, makamanda njooni muongeze nguvu hasa week hii ya mwisho

sawa lakini ufahamu tu kwamba makamanda hawalali,tawi hili linawpiga kura Ar. Mash zaidi ya 20.je wewe usingeitikia wito huo?tafuta tafsiri ya mtaji,kura moja tu ina'effect'kubwa ya kukamata mwizi meeeeeeeeeeeeeeeen!
 
pamoja sana wanajf! Ni hapo jana waheshimiwa h.mdee,sungura,j.heche na wengine kadhaa walitembelea tawi la chadema la chuo kikuu cha mwenge kilichopo moshi.walizngumza mengi,kwa mdee; aliwataka bawacha wasiwe minofu kwani mbwa watawalamba na hatimaye vita dhidi ya rushwa itakuwa ngumu kwani wanawake cdm wanatakiwa'kamata mwizi meeeeeeen',wana cdm wote ni lazima kuunganisha nguvu katika chaguzi mbalimbali,hivi sasa tuunganishe nguvu pale ar.mashariki ili ushindi upatikane tena kwa tofauti kubwa ya kura.aliwataka walimu kuwa na ujasiri na kuacha woga kwani kwa hilo watawafundisha wanafunzi ujasiri badala ya kuwa waoga. Mwenyekiti wa bavicha mh.heche alikemea vikali juu ya propaganda za ccm za kukumbatia udini jambo ambalo litaliingiza taifa hili katika machafuko,hivyo ccm kipuuzwe kwa nguvu zote kwani kimeshajichokea,kiwekwe pembeni.mh.sungura aliwataka wasomi wawe chachu ya mabadiliko katika jamii wanamoishi kwa kuwaelimisha wanajamii juu ya haki na mambo mengine ya uraia.kwa ujumla ziara ya makamanda hao ililenga kuhamasisha wanachama wa cdm katika tawi hilo kuu la vyuo vikuu mkoani k'njaro na kuzindua tawi la bawacha hapa chuoni, ambapo jumla ya sh.735,200/=zilichangwa kwa ajili ya maendeleo ya tawi hili.nawasilisha. Source: Mimi mwemyewe nilihudhuria mkutano huo

bavicha oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Big up san vijan wetu wa CHADEMA, nyie ndo tunaowaamin na sisi wadogo zenu tupo nyuma yenu but epukeni dhambi ya UKIGEUGEU(vuguvugu) mara hujulikani kama wewe ni CHADEMA au CCM, maana endapo mtafanya kazi kwa biddi kam hii tunayoiona na kuepuka kiburi kisiwasogelee wala kujikweza kwani kumbukeni kwamba KIBURI KILIMSHUSHA SHETANI DUNIANI NA KUTUPWA TOKA MBINGUNI' safi san mdee na Heche.
TULIANZA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU.
M4C
 
Back
Top Bottom