Kama una dip wewe una exception ya atecI&II ivyo bac utaanzia foundation level. Ukifaulu unaenda Intermediate level anayoanza nayo mtu wa degree then unamalizia final level kuipata hiyo CPA.
Habari wakuu!
Kwanza nitoe shukuran juu ya mtandao huu penda jinsi ulivyo kuwa msaada kwangu Na kwa jamii nzima.
Ndugu zangu dhumuni kubwa la huu uzi ni kutaka msaada kwenu juu ya ndugu yangu katika ufumbuzi wa ajira au sehemu ya kupata uzoefu kazini.
ELIMU YAKE
#Diploma ya uhasibu
#komputer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.