Wajamini dawa ya upweke ni mini?

Wajamini dawa ya upweke ni mini?

Lakini babe bafuni kweliii,kukaa tuu??heheehe hata kama ni stress hizi zimepitiliza....halafu anaongezea "mpaka analidhika" kabisaa sasa analidhishwa na nini???labda kama bafu lenyewe lina jakuzi,.ila kama haya mabafu yetu ya kwenda na kikopo mkononi sijui unaenjoy nini....uwiii
hata haya ya kwenda na kikopo babe.....anabeba ndoo zake mbili za lita 20 anakua anajimwagia maji huku analia machozi

na machozi ya kuachwa yanavyokuwaga yamoto basi yanapozwa na maji hahaha akitoka hapo uchungu umepungua kidogo hahaha ss nyie sijui mmemuwazia nn binti wa watu
 
Mleta siredi nae anatutega tu, Mana kasema anae boy wa JF ila sio muongeaji. Inabid PM zimiminike kwa wingi sasa. Ila wakati unasubiri suluhu ya tatizo lako usiache kwenda bafuni kupunguza machungu.
Pole mdada
 
Ilo tangazo inabidi ulipie mchu mchu. Maana wateja najua wamesha miminika huko!
 
Kula " poda ¾ " mwamba utakuwa freshi....

* poda - madawa ya kulevya.


 
Biashara ni matangazo na tangazo lako lina ubunifu wa hali ya juu.
Ngoja tusogee pm
 
Yangu boy wangu aniache nimekuwa mtu wa hasira yaani unaweza nisemesha vizuri tu lakini nikakujibu vibaya

Nashinda tu nimelala nikichoka kulala naingia bafuni nakaa huko wee natoka nimeridhika.

Imefikia hatua hata sielewi kwakweli maana hapo nyuma sikuaga hivi. Yawezekana ni upweke tu unasumbua.

Wanaume wa jf nao wamejaa kejeli hata kufarijiana awajua yaani kuna mmoja yeye yupo yupo tu ata kuongea hajui.
Kama ulichokiandika ni kweli pole sana. Naamini utapata faraja very soon.
 
Back
Top Bottom