omary khamis
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 402
- 77
Sorry wanajf naomba kujua ATEC ni nini? Na inatofautiana vp na CPA
Sawa mkuu na vigezo vp ambavyo vinatakiwa ili mtu apate kusoma hio atec na process zipi za kufata mpaka mtu uweze kuisoma hio atec???atec (account technician certificate), ni level za mwanzo kuielekea CPA,
Na je kama una dip ya accounting???Ili usome ATEC I unapaswa uwe .
1.Umefaulu mtihani wa kidato cha nne uwe na credit 3 yakiwemo masomo ya Hisabati na Kingereza.
Au
2. Umefaulu mtihani wa kidato cha sita uwe na D mbili au zaidi katika tahasusi husika.
Au nikipata muda nitaongeza...
Kama una dip wewe una exception ya atecI&II ivyo bac utaanzia foundation level. Ukifaulu unaenda Intermediate level anayoanza nayo mtu wa degree then unamalizia final level kuipata hiyo CPA.Na je kama una dip ya accounting???
Ahsante !!! Na utaratibu wa kijisajili uko je??? Na pia mitihan hufanywa kila baada ya mda gan??Kama una dip wewe una exception ya atecI&II ivyo bac utaanzia foundation level. Ukifaulu unaenda Intermediate level anayoanza nayo mtu wa degree then unamalizia final level kuipata hiyo CPA.
Oya maswali yashakua mengi, tembelea www.nbaa.go.tz
Hahaha ....Oya maswali yashakua mengi, tembelea www.nbaa.go.tz
unataka jibu gani kijana,utaanzia foundation level kama jamaa alivyosema hapo juu kwa kua una diploma ya accountingHapo bado cjaona jibu la swali langu
Sorry mkuu ukipiga hio foundation level fresh je unapata cheti cha level hio???unataka jibu gani kijana,utaanzia foundation level kama jamaa alivyosema hapo juu kwa kua una diploma ya accounting
mitihani inafanyika may na November kila mwaka,ingia website uchimbe info ndugu,si rahisi mtu akujibu maswali yote hapa ila kila kitu kipo kwenye web ya nbaa aliyokupa kijana hapo juu
(c) Foundation Level – Knowledge and Skills Level
(i) NBAA’s Accounting Technician Certificate (ATEC)
(ii) A two-year Diploma in Accounting/Accounting and Finance - NTA level 6.
sijui kwa hiliSorry mkuu ukipiga hio foundation level fresh je unapata cheti cha level hio???
Chet ni ate 2 na cpa yani final stageSorry mkuu ukipiga hio foundation level fresh je unapata cheti cha level hio???
Duuh sasa mbona atec 2 ni level ambayo iko chini ya foundation lakini wao wanapata chet alafu foundation wao hawapati hii ikoje?Chet ni ate 2 na cpa yani final stage
Duuh sasa mbona atec 2 ni level ambayo iko chini ya foundation lakini wao wanapata chet alafu foundation wao hawapati hii ikoje?
Unaisi swali nililouliza linapatikana kwenye hio link apo??
ndio unapata na unaweza ombea kazi ndo maana huwa unaona wakitoa matangazo ya ajira wanasema wanataka mtu mwenye atechSorry mkuu ukipiga hio foundation level fresh je unapata cheti cha level hio???