Wanapunguza kompitisheni mkuu,yakifika shingoni ndo wanaleta lawamashida ni moja ajira hamtaki kutuwekea huku mnafanya application Kwa siri mkishaona hamuitwi ndo mnakuja kutuuliza
wakapambane na hali zao huko huko sisi hatujui maana hata tangazo hatukulionaWanapunguza kompitisheni mkuu,yakifika shingoni ndo wanaleta lawama
Uwe unaelewa Tasaf na nbs ni sawa?? Kama hujui sio lazima uchangie madaingia nbs website yao wametuma majina au fungua link hii hapa http://www.nbs.go.tz/nbs/takwimu/tangazo/Wito_wa_Kazi_PSSN.pdf
chief hawa jamaa wa TASAF waliita watu lini tena mbona habari mupya kwangu iyoWaajiri nao siku hizi hawaeleweki.
Hawa tasaf walisema wataita baada ya siku 14 ila wamekuja kuita baada ya mwaka kupinduka...........baada ya miezi zaidi ya mitano.
Mkuu cheki huu uzi.************************
chief hawa jamaa wa TASAF waliita watu lini tena mbona habari mupya kwangu iyo