Kusave nomber ya mapenzi wako jina la kimahaba ushamba.?

Kusave nomber ya mapenzi wako jina la kimahaba ushamba.?

Inaletaga mizuka sana hata ya kupokea simu, nakumbuka siku nilitaitiwa na ma Pot/Mwela nikawa nampigia simu antumie hela flani niitoe niwahonge jamaa waniachie.

Ndio pie mmoja akaniuliza huyo mtu ni mkeo? nikamjibu ndio..sasa mbona umemsevu drama queen? Nikakosa cha kumjibu maana mziki wake naujua mimi.

Ila sahivi nimempa jina zuri, ameacha utoto wake!
Hahhahaha usinambie saivi unamwita My [emoji23][emoji23][emoji23] Strawberry
 
Inategemeana una wapenzi wangapi na wako kona zipi.mfano yule wa mbagala nimsevu fundi pancha mbagala. Na huyu wa kigamboni nimemsevu Dalali kigamboni
 
Back
Top Bottom