Time za akina lowassa zilisha pita kuwa na mvi nyingi kichwani sio busara busara ni kujitafakari mheshimiwa rais wetu piga kazi,hatutaki maneno tunataka maendeleo na tunayaona
Nenda tanesco ,inawezekana jirani yako aliwadanganya tanesco kwa kuwambia ni eneo lake ilitakiwa wakujulishe ili uje uwaelekeze sehemu ya kuweka hiyo nguzo sababu hata wewe utahitaji umeme baada ya kujenga hiyo nyumba yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.