La gioconda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 678
- 1,285
PoaHahahaha, mambo La gioconda
Mbona hivyo au ndio muhusika mwenyewe hutaki kutoa talaka[emoji23]
PoaHahahaha, mambo La gioconda
Mwanamke akiamua huwa harudi nyuma. Hapo unampigia mbuzi gitaa. Mwanamke ni mvumilivu sana ila akishasema imetosha, hata umpe nini ni kazi bureHauna muda?
Nafikiri hii pia ni sababu ya ndoa yako kuvunjika.
Naamini jamaa hajaua mtu, anafaa kusamehewa. We all deserve second chances, don't we?
Kama kweli jamaa bado anakuhitaji after 8 years apart, kuna real love somewhere!
Unaweza ukahisi wanao wanapata kila kitu. Lakini kulelewa na mzazi mmoja pekee sio kitu kizuri.
Itafika wakati watamchukia mmoja kati yenu.
Wanaume hatutabiriki dadaangu. Unaweza jikuta unaangukia mikononi mwa mtu mbaya kuliko mumeo!
Mnatakiwa mpambane kuungana, sio kutengana. Give it one more try, fight for your family!
- KANA -
Mh! HayaaMwanamke akiamua huwa harudi nyuma. Hapo unampigia mbuzi gitaa. Mwanamke ni mvumilivu sana ila akishasema imetosha, hata umpe nini ni kazi bure
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Aiseee naona umemfukuria kaburi......yani nimepitia hiyo page1...kuna comment imemifanya nicheke..yani kuna mlenga shabaha mmoja alimkaribisha fastaa ahaaaa
Nilipo pitia threads zake, nikagundua tayari amesha onja makatiko ya nje.Hana muda.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Miaka 8 uko busy kutaka talaka? au sasa ndio umempata anae kuridhia ndio unaitaka talaka?
Naunga mkono hoja.
Mkuu mbona unatuuzia chai? Wewe ni me au ke? REF; Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]Nimetengana na mume wangu kwa miaka 8 sasa, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutojali familia hasa watoto na matatizo mengine ya kimaumbile. Nilifunga ndoa ya kanisani nimekuwa busy sana kutafuta pesa ili watoto wasome, kiasi kwamba sikuweza kushughulika na mambo ya ndoa kudai matunzo ya watoto na mali bali nilihangaika wanangu wakue na kupata elimu iliyo bora. Amekuwa akidai tusameheane tuendelee na maisha ila moyo wangu umekataa kabisa najikuta namchukua tu kiasi kwamba siwezi kuendelea kuwa naye.
Nimejaribu kumshawishi tufile petition for divorce ili kila mtu awe huru hataki na amepanga kunifanyia fujo endapo nitajaribu kufanya madai hayo, kiukweli niko busy kiasi nashindwa kwenda mahakamani kudai divorce coz inakula muda na sikumdai na sitadai mali yoyote kutoka kwake nilichotaka ni kuwa huru tu ili nami niweze kumpata mtu nitakayeweza kuishi naye for the rest of my few years in this world as we only live once.
Sasa nimekwama hapo, naomba great thinker mnishauri nianzie wapi.
Samahani kwa kwa kuwachosha na uzi mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke akiamua huwa harudi nyuma. Hapo unampigia mbuzi gitaa. Mwanamke ni mvumilivu sana ila akishasema imetosha, hata umpe nini ni kazi bure