“People don’t know sometimes revenge is so sweet.”......Ingawa muda mwingine pia kisasi si kizuri...angalia mwenyewe upande wako,kama unayo wachangie ili kuwaua kikarimu,kama huna achana nao.Am DONE!!...
Sioni sababu ya kukomaa na ukombozi wa nchi zingine huku Tanzania inatudodea hapa.Kuwa mstari wa mbele katika ukombozi wa baadhi ya nchi za Afrika hatujatusaidia chochote.Ule msemo wa tenda wema uende zako unaendekeza umaskini tu maana.Ni zamu ya Tanzania kujikomboa kwa sasa.Wema mwingi tutakufa...
Mkuu hapa ni changa la macho..aliyekuhadithia ni mwongo..hamna show room hapa bongo kwa sasa ambayo utaichukia IST kwa box 10...labda kwa mtu aliyeitumia kidogo.Hazijashuka kiasi hicho [emoji3]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.