Maisha bwana: Waliokata kuchangia harusi yangu leo hii nimeombwa niwachangie harusi yao

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Maisha bana kweli kitendawili nimeamini kweli hakuna aijuaye kesho itakuwajeee

Nina ndugu zangu hao upande wa bamkubwa miaka iliyopita wakati ninaoaa harusi yangu hakuna aliyenichangia wala aliyewahi kuhudhuria hata kikao changu kimoja cha harusi licha ya kutuma text zinyi na kupiga simu sikufanikiwa kupata sapoti ya ndugu yeyote hivyo harusi yangu nilifanya kibishi bishi mpka nikatoboaa.

Sasa baada ya miaka kupita upande ule ule wa ndugu ambao hawakunichangia wala kunipa sapoti katika harusi yangu leo hii kuna kijana wao anatarajia kufunga ndoa mwaka huu kwenye mwezi wa kumi na mbili na hadi sasa nimeshapigiwa simu na kutumiwa meseji ninayotakiwa kuhudhulia kikao cha kwanza lakini pia najua nitahitajika nitoe mchango au nitoe plide
Ya mchango.

Mpka sasa najiuliza ninaanzaje kwenda, ninaanzaje kufika, ninaanzaje kutoaa kutoa michango kwa watu ambao hawakunichangia
 
Maisha bana kweli kitendawili nimeamini kweli hakuna aijuaye kesho itakuwajeee

Nina ndugu zangu hao upande wa bamkubwa miaka iliyopita wakati ninaoaa harusi yangu hakuna aliyenichangia wala aliyewahi kuhudhuria hata kikao changu kimoja cha harusi licha ya kutuma text zinyi na kupiga simu sikufanikiwa kupata sapoti ya ndugu yeyote hivyo harusi yangu nilifanya kibishi bishi mpka nikatoboaa.

Sasa baada ya miaka kupita upande ule ule wa ndugu ambao hawakunichangia wala kunipa sapoti katika harusi yangu leo hii kuna kijana wao anatarajia kufunga ndoa mwaka huu kwenye mwezi wa kumi na mbili na hadi sasa nimeshapigiwa simu na kutumiwa meseji ninayotakiwa kuhudhulia kikao cha kwanza lakini pia najua nitahitajika nitoe mchango au nitoe plide
Ya mchango.

Mpka sasa najiuliza ninaanzaje kwenda, ninaanzaje kufika, ninaanzaje kutoaa kutoa michango kwa watu ambao hawakunichangia
Kuoa uoe wewe mchango atoe mwingine, kama huna uwezo wa kufanya harusi kubwa fanya ndogo tu kuliko kusumbuana na watu. Ingekuwa ugonjwa hapo sawa
 
Maisha bana kweli kitendawili nimeamini kweli hakuna aijuaye kesho itakuwajeee

Nina ndugu zangu hao upande wa bamkubwa miaka iliyopita wakati ninaoaa harusi yangu hakuna aliyenichangia wala aliyewahi kuhudhuria hata kikao changu kimoja cha harusi licha ya kutuma text zinyi na kupiga simu sikufanikiwa kupata sapoti ya ndugu yeyote hivyo harusi yangu nilifanya kibishi bishi mpka nikatoboaa.

Sasa baada ya miaka kupita upande ule ule wa ndugu ambao hawakunichangia wala kunipa sapoti katika harusi yangu leo hii kuna kijana wao anatarajia kufunga ndoa mwaka huu kwenye mwezi wa kumi na mbili na hadi sasa nimeshapigiwa simu na kutumiwa meseji ninayotakiwa kuhudhulia kikao cha kwanza lakini pia najua nitahitajika nitoe mchango au nitoe plide
Ya mchango.

Mpka sasa najiuliza ninaanzaje kwenda, ninaanzaje kufika, ninaanzaje kutoaa kutoa michango kwa watu ambao hawakunichangia
Una uhakika gani walikataa kukuchangia?? Uwezi jua wakati mwingine mtu anakuwa hana pesa, mioyo hii inabeba mengi ujue rafiki yangu.
 
Maisha bana kweli kitendawili nimeamini kweli hakuna aijuaye kesho itakuwajeee

Nina ndugu zangu hao upande wa bamkubwa miaka iliyopita wakati ninaoaa harusi yangu hakuna aliyenichangia wala aliyewahi kuhudhuria hata kikao changu kimoja cha harusi licha ya kutuma text zinyi na kupiga simu sikufanikiwa kupata sapoti ya ndugu yeyote hivyo harusi yangu nilifanya kibishi bishi mpka nikatoboaa.

Sasa baada ya miaka kupita upande ule ule wa ndugu ambao hawakunichangia wala kunipa sapoti katika harusi yangu leo hii kuna kijana wao anatarajia kufunga ndoa mwaka huu kwenye mwezi wa kumi na mbili na hadi sasa nimeshapigiwa simu na kutumiwa meseji ninayotakiwa kuhudhulia kikao cha kwanza lakini pia najua nitahitajika nitoe mchango au nitoe plide
Ya mchango.

Mpka sasa najiuliza ninaanzaje kwenda, ninaanzaje kufika, ninaanzaje kutoaa kutoa michango kwa watu ambao hawakunichangia
Tenda wema nenda zako unaposaidia wengine Mungu anakupa maisha marefu
 
An eye for an eye will turn the whole world blind alisema Mahatma Ghandth.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Simple, usitoe. Kuna watu hawajui kuwa yatawakuta, wao wakiwa "okey" hawajali kabisa wengine.

Wajifunze, waambie huna.
Ulipotelea wapi mkuu? Safi kwa kurudisha avatar ya Anoldi. Mods walinipiga ben ya life id yangu ya DN.

Kuna kale kamsemo ka theresa may kanaseema whats go around...
 
Potezea Hao kima...

Ila kama kuna hata Kaka Mtu kwenye hiyo familia alikufhangia na unakumbuka kiasi. Wachangie the same Amount ila kwenye Shughuli yao usiende, Omba Hudhuru!
 
Potezea Hao kima...

Ila kama kuna hata Kaka Mtu kwenye hiyo familia alikufhangia na unakumbuka kiasi. Wachangie the same Amount ila kwenye Shughuli yao usiende, Omba Hudhuru!
Wazo zuliii mnooo
 
Maisha bana kweli kitendawili nimeamini kweli hakuna aijuaye kesho itakuwajeee

Nina ndugu zangu hao upande wa bamkubwa miaka iliyopita wakati ninaoaa harusi yangu hakuna aliyenichangia wala aliyewahi kuhudhuria hata kikao changu kimoja cha harusi licha ya kutuma text zinyi na kupiga simu sikufanikiwa kupata sapoti ya ndugu yeyote hivyo harusi yangu nilifanya kibishi bishi mpka nikatoboaa.

Sasa baada ya miaka kupita upande ule ule wa ndugu ambao hawakunichangia wala kunipa sapoti katika harusi yangu leo hii kuna kijana wao anatarajia kufunga ndoa mwaka huu kwenye mwezi wa kumi na mbili na hadi sasa nimeshapigiwa simu na kutumiwa meseji ninayotakiwa kuhudhulia kikao cha kwanza lakini pia najua nitahitajika nitoe mchango au nitoe plide
Ya mchango.

Mpka sasa najiuliza ninaanzaje kwenda, ninaanzaje kufika, ninaanzaje kutoaa kutoa michango kwa watu ambao hawakunichangia

“People don’t know sometimes revenge is so sweet.”......Ingawa muda mwingine pia kisasi si kizuri...angalia mwenyewe upande wako,kama unayo wachangie ili kuwaua kikarimu,kama huna achana nao.Am DONE!!...
 
unajua sababu ya wao kutokukuchangia ilikuwa ni nini!?!
Japo si mfuasi wa kuchangia harusi, ila kwa utamaduni wa waTz wengi we fanya kuchanga tu, kikao si lazima uende labda kama unamda, na kwenye harusi jitahidi ufike ucheze na kucheza wakuone kuwa upo
 
Back
Top Bottom