KAMBOTA: Asante sana kwa utafiti huu. Dunia ya leo inaitaji watu kama wewe wanaoweza kuangalia upande wa pili wa taarifa tunazopata kwenye vyombo vya habari. Asimilia kubwa ya kile tunacho ambiwa kwenye magazeti, Radio, TV, etc hua ni uongo. Lengo la viongozi wa dunia leo, ni ku control minds...