Mbona naona machache na sio mengi
Wingi unaanza na ngapi? Moja? bili? tuta? nene? mia?
Mbona naona machache na sio mengi
[h=1]Papa Francis: Maisha yake yaibua mengi[/h]Share
bookmark![]()
Email Rating![]()
![]()
Na Florence Majani,mwananchi
Enzi ya ujana wake aliwahi kufanya kazi mbalimbali ikiwamo ya mlinzi wa mlangoni (baunsa) katika Bar, ili kujipatia fedha.
Papa Francis I aliteuliwa hivi karibuni kuliongoza kanisa hilo baada ya Papa Benedict XVI kutangaza kujiuzulu kwa sababu za kiafya.
Enzi ya ujana wake aliwahi kufanya kazi mbalimbali ikiwamo ya mlinzi wa mlangoni (baunsa) katika Bar, ili kujipatia fedha.
Papa Francis aliteuliwa hivi karibuni kuliongoza kanisa hilo baada ya Papa Benedict XVI kutangaza kujiuzulu kwa sababu za kiafya.
Aidha, Papa Francis anatarajia kuongoza misa yake ya kwanza kesho katika Kanisa la Mtakatifu Peter, mjini Vatican.
Katika wasifu wake ulioandikwa mwaka 2010 na Francesca Ambrogetti na Sergio Rubin wa Shirika la Jesuit, Papa Francis I alikiri kuwa aliwahi kufanya kazi kama mlinzi wa mlangoni katika moja ya baa za Jimbo la Buenos, Argentina, ili kujipatia ada ya shule.
Papa huyu mpya ambaye jina lake halisi ni Jorge Mario Bergoglio, alisema kuwa rafiki yake wa kike alikuwa ni miongoni mwa kundi la marafiki aliokuwa akicheza nao muziki wa tango.
Lakini baada ya kubaini kuwa natakiwa kuenenda kiroho, nilisitisha urafiki, alisema alipohojiwa.
Papa Francis I amezaliwa katika familia yenye maisha ya kawaida, ambapo baba yake alikuwa mfanyakazi wa shirika la reli na mama yake alikuwa mama wa nyumbani.
Vilevile kuna taarifa zinaeleza kuwa Papa Francis, aliwahi kumpenda msichana mmoja na kutaka kuoa kabla ya kuingia katika utumishi wa Mungu.
Mwanamke huyo Amalia Damonte alisema kuwa aliwahi kutaka kuolewa na Papa, lakini alikataa.
Nampa hongera Papa Francis, lakini nilikataa ombi lake la kutaka kunioa, alisema Damonte.
Alisema Bergoglio alionyesha nia ya kumwoa akiwa na miaka 12 na alikataa kwa sababu wazazi wake wasingekubali akiwa katika umri huo.
2.Kutaka kuoa mtoto wa miaka 12.
3. kucheza mziki wa Tango na kinadada warembo.
4..........hili halisemeki hazarani, dugu!
Binadamu tunakuwa wanafiki sana. Kila mara tunapiga kelele kutaka freedom of expression and opinion, cha kushangaza pale tunapoguswa kimaslahi na kiimani tunakuwa mbogo.
Mwandishi ametoa mawazo yake pamoja na kwamba hayatosherezi, kuanza kumshambulia ni kukiuka basic fundamental freedoms and human rights yake na yenu.
Watu kushangaa siyo ajabu hasa kwa wale wasiojua historia ya kanisa katoliki, ni jukumu la kanisa kuwafanya wasishangae.
Kama kanisa lilijiweka katika macho ya wananchi na ku-paint picture ya Papa kuwa ni mtu ambaye hakuwahi KUJIRUSHA wakati akiwa kijana basi inabidi ku-adjust hiyo image. Kwa mawazo kama haya, siyo ajabu lilikuwa linaweka chini ya carpet hata madudu ambayo mapadre wake walikuwa wanafanya.
kwani Papa anashuka kutoka Mbinguni, ama alizaliwa duniani na amekulia mbinguni?. Huyu ni binadamu kama mimi na anamahitaji kama yangu. Kwani Yesu aliposema amekuja kwa ajiri ya waliopotea alikuwa ana maana gani?.
THIS IS OPEN SOCIETY.
Lakini mbona mtume wa wasilamu alioa kabisa? tena katoto ka miaka 8 na hamsemi?2.Kutaka kuoa mtoto wa miaka 12.
3. kucheza mziki wa Tango na kinadada warembo.
4..........hili halisemeki hazarani, dugu!
Mkuu, inawezekana kwako au kwa yule yakawa siyo mapya hata kidogo lakini kwa wengine yakawa ni mapya. Nimesema ni mapya kwa watu wasiomjua Papa au historia ya kanisa katoliki.Sasa swali bado linabaki ni mapya gani hayo yaliyoibukaaa....Hakuna jipya hapo...
Hivi baunsa wa bar, kujiusisha na mapenzi ni mambo madogo?Kuwa na nia ya kuoa katika maisha ndio mambo mengi? Mbona hadi hata kunguni huwa na nia ya kuoana? Sembuse mwanadamu?
Ulitaka yafike mangapi ndio uwamini kua ni mengi? Au unge ambiwa alijiusisha na mapenzi ya jinsia moja ndio unge amini kua ni mengi?huyu bwana vp ndo mengi hayo!
2.Kutaka kuoa mtoto wa miaka 12.
3. kucheza mziki wa Tango na kinadada warembo.
4..........hili halisemeki hazarani, dugu!
Alitaka kuoa binti wa miaka 12. Nikuongeze lingine?Wewe hapo umeona meng hapo?,hilo ni moja jingne