Nimeota baba yangu mdogo aliye fariki mwaka jana ananiachia nyumba.
Nyumba ni kubwa sana na tupu.
pia kuna shimo kubwa mafano wa kaburi pembeni yake.
Hii ndoto imeniumiza sana kichwa, nimejaribu kutumia hekima za kiuanadamu nimeshindwa kupata majibu.
Naombeni msada ndugu zanguni kwani hata hapa kibaruani leo ufanisi wangu umeshuka mno
Pole sana giLEsi. Ni kweli kuna ulimwengu usio onekana kwa macho na ndio wenye nguvu ktk maisha yetu. ndoto hiyo ina uhusiano na ulimwengu huo (wa roho).mimi bado ni mtoto na msaada wangu pengine ni kukwambia fanya maombi ya rehema kama walivyo shauri ndugu na ukiweza hudhuria mafundisho ya kanisa la Ukombozi kwa Nabii Malisa kama upo dar ni pale tegeta,skanska ilipo shule ya colnelius girls yeye anafanya deliverance . Mungu akusaidie.
Yaani umeiota serikali ya JK laivu. Ndivyo atakavyoikabidhi nchi huku akiwa amewachimbia kaburi wabongo. Mweeh!
Hao wote ni wahuni, nenda kwenye kanisa ulilobatizwa
Inamaana huyajui mambo ya kihuni yaliyofanywa na watumishi waliotajwa hapo?Mkuu huwa napenda comment zako lakini ktk hili umenihuzunisha,yawezekana kweli
kwa maoni yako unawaona hawa watumishi ni wahuni lakini unajuaje kuwa ktk hao
yawezekana mmoja wao ndiko kanisani alikobatizwa?!!pia kumbuka kama unavyomuamini
na kumheshimu mtumishi anayekuongoza ndivyo kondoo wa hawa watumishi wanavyowachukulia.
Kumbe ndoto huwa zina maana ,mie huwa napuuzia
Inamaana huyajui mambo ya kihuni yaliyofanywa na watumishi waliotajwa hapo?
Baadhi yake ni wizi.
Wizi wa umeme, mwingine ana kashfa ya uzinzi, yaani ni wahuni tu.
Wapo watumishi ambao kweli Roho waq Bwana yuko juu yao.
Ibada zao hazina shaka yoyote.
Kumbuka, hao wanaojiita manabii ni nani aliyewaka mafuta?
Je wanasifa gani za kinabii?
Nimeota baba yangu mdogo aliye fariki mwaka jana ananiachia nyumba.
Nyumba ni kubwa sana na tupu.
pia kuna shimo kubwa mafano wa kaburi pembeni yake.
Hii ndoto imeniumiza sana kichwa, nimejaribu kutumia hekima za kiuanadamu nimeshindwa kupata majibu.
Naombeni msada ndugu zanguni kwani hata hapa kibaruani leo ufanisi wangu umeshuka mno