The Golden Words of Hitler

mzee hitler hakushindwa vita kwa uwezo, its just by number of allied soldiers, sometime germans were running out of bullets then they get killed, they had the best weapons and best generals, there tactic are used even by today by major powers! yes hitler was bad on one side only of killing jews apart from that he was just a good leader who believe in super-race theory. its not bad kila kitu kina level yake, mbona hata hapa tz wahaya na wachaga wanajiona ni watu wa superior race kuliko labda watu wa pwani etc

hitler never thought of colonising africa even a bit! he never wanted some cheap labor like other European countries he wanted pure german breed ( aryan race-considered to be superior race of people)

Sasa Hitler nae alikuwa kachemsha, kwani yeye ni mjerumani hata awe na kihere here cha kuchukia non germans?? origin yake ni austria...



 
Kwa ninavyofahamu mimi kwanza Hitler akuwa hana niya ya kutawala Africa yote.
kama sikosei aliipenda sehemu ya north africa [Tunusia,moroco na Egypti kidogo.
Huko alimweka kibarakawake fulani aliyeitwa Romel na kuliongoza jeshi la kinazi
kuwaondoa wakoloni wengine ili yeye awe kwenye pawa kwa faida ya Hitler.
Pili pamoja na ukatili wake wote aliyowafanyia wayahudi milioni 6,Hitler aliipenda sana nchi yake
na raia wake. Watu kama HIMLER,GORGO,ROMEL na Hitler mwenyewe walihakikisha kwanza Ger
many na watu wake wanakuwa safe na mengine baadae. Na alikuwa na future ya kuona nchi yake
oneday inakuwa super power. Sema uchokozi wake kwa poland,rusia,france,italy na marekani ndiko
kulikomponza. Stallin,Mousalin,Chuchirl na Nicksoni waliamua kuungana na kumtoa kwenye uso wa
dunia!. Tafauti na viongozi wetu wa kiafrica wanaochukia raia wao na kuzitafuna mali zote ndani ya nchi
kwa faida yao! enzi ya Hitler hawa wote wangenyongwa tu pummmmbffffu
Mkuu sidhani kama Rommel alikuwa ni kibaraka wa Hitler, Rommel alikuwa ni 'professional military-man' nadhani alikuwa miongoni mwa viongozi wachache katika jeshi la Ujeremani ambaye hakuwa mwanachama wa 'NAZI' , Rommel alikuwa ni mtu makini , Hitler asingelimweka mtu ambaye angeliburunda kazi na kuhatarisha malengo yake, hapa hakujali cha urafiki au U-NAZI , nadhani Rommel aliposhindwa na Monty ilikuwa ndiyo mwanzo wa kushindwa kwa Hitler--
 
Sasa Hitler yeye mwenyewe hakuwa mjerumani hata kidogo, alihamia from Austria. Sielewi kilichofanya achukie watu ambao hawakuwa pure german race yaani Arier...

Ukisoma historia ya "Holy Roman Empire" (not to be confused with The Roman Empire) mpaka historia ya "Astro-Hungarian Empire utaona jinsi gani hii mipaka ya ulaya ya wakati wa Hitler ilikuwa mipya. Mipaka ya Ulaya ilikuwa inabadilika sana. Mfano mmoja ni mipaka ya Poland.

Kwa hiyo, Hitler alikuwa anataka kuwaunganisha watu wote walio Germanic, unao hawa all over Europe kuanzia Swizi, Austria, Poland mpaka hata wa Saxon wanaofanya Anglo-Saxons, ambao wametokea Saxony ya leo huko Ujerumani, hence the name.

Kwa hiyo tusiangalie mipaka ya miaka 80 iliyopita tu, tukumbuke kwamba Hitler alikuwa anataka kutawala dunia kwa kuiongoza na watu wenye asili ya Ujerumani, ambao walikuwa ni wachache sana ukiwalinganisha na idadi ya watu wote wa dunia.

Alikuwa na kila sababu ya kuwaunganisha watu wote wenye asili ya Ujerumani kwa sababu zake za kisiasa.

Angalia hii video ya jinsi gani mipaka ya Poland ilivyobadilika. Ukielewa hili, ukielewa kwamba Hitler alitaka kutawala dunia nzima, utaelewa.



Also see a similar video of the rise and fall to Prussia, which is the predecessor to modern Germany and a mantle holder for the Holy Roman Empire.

 
Last edited by a moderator:
... hivi nitawezaje kupata nakala ya ' The Black Man' na rekodi za Garvey ?
Misha, The Black Man lilikuwa jarida litokalo kila mwezi ambalo Garvey alikuwa mhariri. Kwa hiyo nadhani itakuwa si rahisi kupata kopi kwa sasa ingawa maandishi mengi ya Garvey yapo kwenye vitabu hivi vinavyopatikana pia kwenye Google Books:
1.Philosophy and opinions of Marcus Garvey: or, Africa for the Africans,

2.The Marcus Garvey and the Universal Negro Improvement Association Papers By Robert A. Hill (Editor) Volume VII November 1927 - August 1940

3.The World of Marcus Garvey: race and class in modern society

Hizi linki hapo juu ni chache tu.

Vile vile University of California Press wanavyo vitabu vingine ambavyo unaweza kununua (lakini bei yake kali!)

Natumaini hii infomesheni itasaidia!
 
Waafrika wasiopenda kutawaliwa wangepigania kujitawala tu na kushinda,kwani majaribio yaliyofanywa na waafrika hawa kutaka kujitawala yalionyesha kuboreka kadiri muda ulivyoongezeka. (Rejea mbinu na zana zilizotumika tangu kuanza kwa mapambano dhidi ya ukoloni afrika).Kwenda kupigana vita kuu za dunia zilikuwa harakati zao za kutafuta mbinu za kuwatimua wakoloni, ingawa kwa baadhi ya watu inaonekana kama walishurutiswa kwenda kwenye vita hivyo. Nadhani kuibuka kwa Hitler na harakati zake za kutawala dunia kulichangia kiasi kidogo tena bila athari za moja kwa moja katika kupatika kujitawala kwa waafrika.
 
Waafrika... Kwenda kupigana vita kuu za dunia zilikuwa harakati zao za kutafuta mbinu za kuwatimua wakoloni
Una ushahidi wowote ilikuwa nia ya Waafrika waliokubali kuwa wanajeshi wa Uingereza au Ufaransa wakati wa vita?
Ningeshangaa kuiona.
 
Misha, The Black Man lilikuwa jarida litokalo kila mwezi ambalo Garvey alikuwa mhariri. Kwa hiyo nadhani itakuwa si rahisi kupata kopi kwa sasa ingawa maandishi mengi ya Garvey yapo kwenye vitabu hivi vinavyopatikana pia kwenye Google Books:
1.Philosophy and opinions of Marcus Garvey: or, Africa for the Africans,

2.The Marcus Garvey and the Universal Negro Improvement Association Papers By Robert A. Hill (Editor) Volume VII November 1927 - August 1940

3.The World of Marcus Garvey: race and class in modern society

Hizi linki hapo juu ni chache tu.

Vile vile University of California Press wanavyo vitabu vingine ambavyo unaweza kununua (lakini bei yake kali!)

Natumaini hii infomesheni itasaidia!

Asante sana ndugu Rungu, ingawa thread hii ilikuwa ni ya Hayati Hitler na ukoloni Afrika, nilimuingiza Garvey na UNIA kama kielelezo kuwa weusi walikuwa hawajalala fofofo,mimi nilisoma kitabu cha mambo ya UNIA, bahati mbaya kilikuwa hakina jarada-sikuona jina la mwandishi nimeshukuru kuona vitabu vingine vinavyomuongelea Garvey kwa mtazamo mwingine, bei ni kali , niliangalia questia.com(online library) naona wana vitabu kama hivi vilivyoandikwa kwa mitazamo ya kiafrika na mitazamo mingeneyo, nitajiunga nao, au kuna site nyingine unayoifahamu yenye online library kama questia? Nilijaribu abebooks.com-second hand books - sikuona.
 
NI kweli, hitler alisaidia sana kumaliza ukoloni afrika.baada ya vita kuu ya pili nchi za ulaya zilikuwa zimefilisika zisingeweza kuendelea na ukoloni.

....makoloni was a source for their cheap labour & almost free natural resources to build and boost their nations economies,was like a goldmine ambayo inatema tuu bila any expenses,ukoloni uliisha tuu kutokana na watu kubadilika na kuona ubaya wa hiyo system na guilty ya world war 2 ambayo nao walikufa kupigania freedom zao,morally ikawa ngumu sana kwao kuendelea na ukoloni na kama slavery,apartheid,racism etc mifumo yote inakuja na kuondoka...lakini ukoloni haukwisha kwa wakoloni kufilisika!
 
....makoloni was a source for their cheap labour & almost free natural resources to build and boost their nations economies,was like a goldmine ambayo inatema tuu bila any expenses,ukoloni uliisha tuu kutokana na watu kubadilika na kuona ubaya wa hiyo system na guilty ya world war 2 ambayo nao walikufa kupigania freedom zao,morally ikawa ngumu sana kwao kuendelea na ukoloni na kama slavery,apartheid,racism etc mifumo yote inakuja na kuondoka...lakini ukoloni haukwisha kwa wakoloni kufilisika!

Wewe hujasahau historia uliyofundishwa Form 3
 
Mein Krampf.jpg
Na Nova Kambota Mwanaharakati,

Nimekuwa nikifanya utafiti kuhusu maisha ya AdolfHitler kupitia maandiko mbalimbali naniseme wazi katika dunia ya leo "mwendawazimumkubwa" ni mtu anayepingana na fikra zakimagharibi ndiyo kwa wasomi wetu wa sasa wenye mtazamo wa kizungu ni vigumukuyaona mambo katika uhalisia wake bali katika mtazamo wa kiulayaulaya naMarekani.

Maandiko namtiririko wa mantiki unabainisha kuwa fikra za anayeitwa dikteta Adolf Hitlerzingalipo mpaka leo hii tena zinaongoza sio tu Ujerumani bali Ulaya naMarekani, pengine kuna watu watapinga hili , ila sina hofu, najua kwanini watanipinga?"hawasomi" na "hawapendi kusoma" na zaidi wamefumbwa wasione vinavyoonekana,naam! Naandika kuibua mjadala, naandika kunyoosha palipopinda, naandika ilitujifunze kufikiri.

Kamaunadhani fikra za Adolf Hitler zimekufa au wazungu hawapendi mawazo yake nasemabasi hesabu "Maumivu" narudia tena hesabu maumivu, kabla hujaendelea kubishahebu tafuta kitabu cha Adolf Hitler kinachokwenda kwa jina la
"Mein Krampf" kilichopigwa chapa mnamo mwaka1925. Mwenyewe Adolf Hitler alikiandika kitabu hiko akiwa gerezani mnamo mwaka 1923,inaelezwa kuwa kitabu hiko ndiyo ulikuwa mwongozo wa utawala wake baadaekuanzia mwaka 1933 mpaka 1945.


Baadaya vita kuu ya pili ya dunia mnamo mwaka 1945 pengine kwa kukusudia au kwahulka yao ya kuficha ukweli wazungu na wamarekani wamefanikiwa kuficha ukwelikwa zaidi ya miongo mitano kuwa "fikra za Adolf Hitler ndiyo mwongozo wamataifa hayo ya kibeberu" na vyovyote itakavyokuwa ukweli utabaki hivyo kuwaMein Krampf(My Struggle) au kwa Kiswahili kinaitwa "Mapambano Yangu" ndiyomwongozo wa Ulaya na Marekani kwa maana nyingine tunaweza kunyumbulisha mantikikwa kuhitimisha kuwa "Mawazo ya Hitler yanaitesa Afrika mpaka leo".

Ukipitiakitabu hiko utakutana na kauli hii "Those whowant to live, let them fight, and those who do not want to fight in this worldof eternal struggle do not deserve to live. Adolf Hitler Mein Kampf" kwa tafsiri nyepesi ya Kiswahili Adolf Hitler hapa anamaanishawanaohitaji kuishi hawana budi kupambana, na wale wasiotaka kupambana basihawastahili kuishi Dunia hapa. Naam! Hayandiyo mawazo ya kiongozi wa Manazi Adolf Hitler , sasa je hebu tuone undani wakauli hii na je nani anaitekeleza kwa vitendo? Na kwa mapana yapi?

Mpaka leo hii hakuna ubishi Ulaya na Marekani wakokatika mapambano ya kufa na kupona kuhakikisha ubeberu wao unazidi kuimarika nazaidi ya yote mirija yao ya kunyonyea inazidi kufyonza maliasili za Afrika .Mapambano ya wazungu ni kuhakikisha kuwa Afrika inaendelea kuwa masikini, hayandiyo mawazo ya Adolf Hitler ambayo yanakumbatiwa na mabeberu wa Ulaya naMarekani, wasiyapende vipi wakati yanawasaidia? Sasa kwanini wadanganye duniakuwa hawampendi Hitler? Waswahili wanasema "ukipendaboga sharti upende na ua lake", Je iwaponi kweli Hitler ni mbaya kwanini wakumbatie na kuzisujudu fikra zake? Kuna nini hapa?

Naam! Hii ndiyo kwanza sehemu ya kwanza ya mfululizowa makala hii ya kusisimua , jiandae kusoma sehemu ya pili itakayoeleza kwaundani uhusiano kati ya mawazo ya Adolf Hitler na ubabe wa mataifa ya Ulaya naMarekani. Asante kwa kusoma!

Nova Kambota Mwanaharakati,

+255717 709618
Tanzania, East Africa
Saturday, October1, 2011.
 
Nakumbuka kitabu hicho alikiandika alipokuwa jela. Ila nimesahau maana ya tittle lake.
 
Ukimaliza hicho soma na hivi hapa Real Politik by Hitler and Our Modern world by Benjamin Disrael mkuu yanayotokea leo ni mfumo mzima ulioandalia na mabepari toka enzi,thanks for reading books
 
Katika utafiti wangu nimegundua kwamba kabda ya Hitler kuchukua madaraka geruman ilikuwa masikini sana na helayake ilikuwa tuseme kama ya zimbabwe. Lakini hitler alipoingia madarakani alichange mfumo wa mabenki huko kipindi chake na kukawa sio hela zinatengenezwa kutoka kwa deni na benki kuu lakini zinaingizwa bila deni na aliwahamasisha sana watafiti wa kisayansi kufanya utafiti katika mambo mengi. Kama sikosei jet engine ya mandege ya kivita yanayotumiwa leo na zille ingine za space program ni matunda ya hitler zote hizo ingine, zinakasoro tu ya kalekalebo ka chama nazi na kamsalaba. Hata nasikia nuclea bomu liligunduliwa huko na wanasayansi wa hitler na wakabagaini na hawa rulers wa sasa ndo wale wakubwa wakatoroka na wengine kuchukuliwa USA na ndo wakaendeleza maendeleo huko kama kina Wernher Vone Braun. Yaani habari ndo hiyo US space program ni ya Hitler imekosa tuu nazi part lebo
NAZI.jpg
 
KAMBOTA: Asante sana kwa utafiti huu. Dunia ya leo inaitaji watu kama wewe wanaoweza kuangalia upande wa pili wa taarifa tunazopata kwenye vyombo vya habari. Asimilia kubwa ya kile tunacho ambiwa kwenye magazeti, Radio, TV, etc hua ni uongo. Lengo la viongozi wa dunia leo, ni ku control minds zetu, ili tusiweze kuangalia upande wa pili wa taarifa tunazopata au wanazotupatia; na kisha watutawale. Ukifanya utafiti kama hu and u find out the missing links, utapata upinzani mkali leo, na wengi watesa ni 'conspiracy theories', lakini baada ya mda utakubalika tu maana hua ndo ukweli. Leo hi watu wengi wanamuona Rais wa Iran Mahmoud Ahmadinejad kama kicha, anapowambia wamerekani kwamba matukio ya 9/11 yalipangwa na viogozi wao , lakini with time watakuja kujua kwamba jama anasema ukweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom