Recent content by El Tiger

  1. El Tiger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hope ni kwema humu ndani, Imekuwa kitambo kidogo wakuu! EPL inarudi leo nikaona tupeane salamu fupi. UTD Ipo kwenye njia sahihi! Huwezi chukua EPL kama wachezaji wako hawana 'Mentality' sahihi ya ushindani na Umoja. Ile ni timu sio Gofu ama Tenisi. Amorim amefanya kitu bora sana kuondoa 'EGO'...
  2. El Tiger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Masta huwaga una hoja nzuri sana za kimpira ukitoa "UNAZI" Yani unawadhihaki Timerlane na Joh Doe katika hili!! Hakuna PROJECT Ya mpira inayozidi miaka 3. ARTETA Sasa anaenda miaka 7 kombe 1 na ametumia karibu 800m, Sajili zaidi ya 30 kwa kombe 1?? bado huamini kwamba ni Ishu pia Inahusiana...
  3. El Tiger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu EUROPA ni michuano ya mtoano kwa hatua imefika na Michezo ya Hivi huwa inabebwa zaidi na mbinu! UTD Mpaka sasa ni timu ambayo haijafungwa ila pia haijawa bora. Ila kwa kundi lililobaki na UTD inaimarika kiasi Uwezekano wa kuwa Bingwa Upo. LYON wana ATT nzuri sana asee na moja ya wachezaji...
  4. El Tiger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Quenda kwenda CFC habari nzuri sana, UTD kwa namna ilitaka mtumia ingekuwa ni kuchelewesha maendeleo yake. Kingine dili lake linampa nguvu kubwa sana "AGENT" juu ya timu. (CFC Hawajui nini wanataka pale maana wana Palmer, Paez, Estevao, Neto, Madueke, Tyrique, Wote wanaweza kuwa RW/LW) Kuna...
  5. El Tiger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arteta Ubora wake umekuwa kwenye kujihami zaidi na Defense ya Arsenal imekuwa nzuri misimu miwili nyuma, Msimu huu bado ni bora ila timu ina makosa mengi sana hilo eneo hillo watu wanamfikia sana RAYA, UTD Mbovu zaidi imemfanya Raya afanye saves karibu 5. Hapa Umewa-downplay sana PSG bila...
  6. El Tiger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuwa Serious mkuu, Kweli mna majeraha kuzidi timu nyingine!!?? L'Pool akianza ligi CF wake alikuwa Jota akapata Majeraha, TAA, Diaz, Konate, Allison hawa wote wamekuwa wakipishana kwenye Infirmary, CITY wamekuwa wakiwakosa kwa awamu KDB, Rodri, Stones, Ederson, Kovacic, Dias na wana msimu...
  7. El Tiger

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu hao magwiji hawaachagi game! za NBC zinakuwaga chache sana na mara moja moja ila CAF zote wanaonyesha na streaming yao unasahau kabisa kama unafanya streaming, Game za UCL, EPL, LA LIGA, Bundesliga, Serie A, Europa na Conference ligi zingine maarufu hawana wanayoacha na kama zikiwa...
  8. El Tiger

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Moja ya kitu inazingua ku-stream Mpira kwa Simu halafu unakuwa na Device nyingine ambazo ni bora zaidi. Kuna hii Link hakuna Mechi inaacha FawaNews - Your Home of Sport Msimu huu naona watu wa mpira ni sehemu ya kuishi humo. Nimeona recommendations za app nyingi humu ila nyingi ni maumivu tu...
  9. El Tiger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    RvN angepita na ule ule upepo wa Ole, baada ya hapo wale "legends" wenzake wa zamani watake apate mkataba mpya, matokeo yakimwendea kombo wamgeuke timu ianze safari nyingine, Kiukweli Mwalimu mpya anastahili na kwangu ilikuwa kati ya Ruben Amorim ama Sebastian hoeneß sababu ya umri wao, Ruud...
  10. El Tiger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kilichowabeba Barcelona ni ile hali ya Kifedha wakaamua geukia Academy na imekuwa lulu Wachezaji wao wengi tayari ni "Matured" Cassado, Balde, Fermin wote wana miaka 21, "Exceptional" ni wawili Lamine Yamal na Pau Cubarsi ambao kwa sasa wote miaka 17, + Watu wazima kwenye timu wanaonyesha...
  11. El Tiger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Binafsi sijawahi kuwa muumini wa wachezaji wavivu! Rashford yupo hili kundi, Ila penye sifa zinazostahili inabidi tuzitoe! anajitahidi msimu huu na mpira wa kisasa ukiwa unajituma mara nyingi nafasi zinajitokezaga ukiwa maeneo sahihi, Bruno ni muhanga mwingine wa kupoteza form yake, INEOS kama...
  12. El Tiger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Bruno Miguel Borges Fernandes: Bado ni Moja ya Viungo bora zaidi wa Ushambuliaji Duniani! Ila tangu Msimu Umeanza Bruno sio Yule na kuna Maamuzi Mengi sana anafanya yanagharimu Flow ya Timu, Inawezekana ni Muda Mrefu UTD Hai-Control Game With/without Possession imemuathiri kiasi flani lakini...
  13. El Tiger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Conte ndo Mwalimu karudisha Role ya "Libero" Miaka ya Karibuni EPL na ameirudisha kwa kumtumia D.Luiz Upo Sahihi haikutumika kwa Miaka Mingi , OGS akamtumia Maguire kama Libero, Bayern alikuwa Hummels na Allegri alikuwa akimtumia Bonucci, Stones akiwa na England ametumika kama Libero Pia LIBERO...
  14. El Tiger

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    PEP Mostly anatumia Back 4, Anachofanya PEP ni Line Up inayoonekana na watu 3 Nyuma ila lazima awe na FullBack mmoja anayesogea kwenye Midfield (Anakuwa na 4 Defenders, Ila Back 3 Mostly inakuwa na 5 Defenders) BuilUp yake inakuwa 3~1~3~3 Diamond ambayo Kiasi kikubwa Msimu huu Rico Lewis...
  15. El Tiger

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yani hili limekuwa Tatizo kubwa sana kwa UTD Miaka ya Karibuni! Msimu ulopita UTD ina Magoli 9 tu yanayotokana na "Set Pieces" Arsenal anaongoza akiwa na Magoli 20! Haya mara nyingi ni Mipango na yanaweza amua Mechi ngumu! UTD Miaka ya Nyuma Game inakuwa Ngumu Kona/Faulu Giggs unaona Vidic...
Back
Top Bottom