Mpaka sasa kinachosababisha Arsenal ishinde baadhi ya mechi ni defense.
Hakuna zaidi.
Timu kama PSG ni kawaida kutengeneza big chances mpaka tano kwenye mechi moja. Na utakuta wanascore moja au mbili.
Lakini dhidi ya Arsenal hawakutengeneza big chance yeyote. Watu walikua wanashangaa Arsenal kuifunga PSG kisha PSG akadominate Loserfools. Difference ililetwa na defense
Hakuna zaidi.
Timu kama PSG ni kawaida kutengeneza big chances mpaka tano kwenye mechi moja. Na utakuta wanascore moja au mbili.
Lakini dhidi ya Arsenal hawakutengeneza big chance yeyote. Watu walikua wanashangaa Arsenal kuifunga PSG kisha PSG akadominate Loserfools. Difference ililetwa na defense