Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

French referee, Clément Turpin will take charge of Atalanta Vs Arsenal on Thursday. #UCL
IMG-20240918-WA0017.jpg
 
Atawafungaje wakati mnamkamia gab kila mahala anaenda nae mpk dressng room na contena juu mnaweka, halafu kwa hayo mazoea kila mkikutana na city mnaweka contena, kipara anasuka tu kafoko lift kake. mtakuja kulia viazi nyie.
Hakamiwi ila watu wanafunga njia...yaani kifupi hakuna kupata huduma ya pasi yyte...abaki anazurura na lile ndonga lake....j2 unganeni nao mkibana sehemu nyeti Ili wapate goli ila hawatapata kitu....tunataka kumaliza ligi tumefungwa goli zisizozidi kumi tu
 
🚨🔴⚪️ Arteta: “We will lose Martin Ødegaard for a while”.

“The scans showed he has some damage especially on one of the ligaments in the ankle”.

↪️ Calafiori and Saka are fine and available.
 
Napingana nawe kusema Conte alimtumia Luiz kama Libero, libero inapatikana kwenye system catenaccio, so ni ngumu kucheza hii system wakati unafanya zonal marking, often libero anakuwa last man in defence so anadefend zone btn the GK and CB, sasa huyu often anaua ile offside trap hivyo inaleta ugumu kupress highline, high line mara nyingi inataka the flat back four, wataliano wametumia sana hii sytem cuz hawakuwa na zonal marking before arrigo sacchi na pili wanatendency ya kudefend deep per 90.
Conte ndo Mwalimu karudisha Role ya "Libero" Miaka ya Karibuni EPL na ameirudisha kwa kumtumia D.Luiz
Upo Sahihi haikutumika kwa Miaka Mingi , OGS akamtumia Maguire kama Libero, Bayern alikuwa Hummels na Allegri alikuwa akimtumia Bonucci, Stones akiwa na England ametumika kama Libero Pia

LIBERO anakuwa ni Yule anayebaki nyuma ya Back line nzima, Role yao miaka ya Nyuma ilikuwa Imetawalina na "Sweeping" kwenye CATTENACCIO ila karibuni imeboreka mara nyingi wao wanakuwa Progressor kuanzia Phase ya kwanza,
Ndicho alichokuwa akifanya CONTE kwa Luiz kukaa kati ya Cahill + Zouma/Azpilicueta

screencapture-coachesvoice-cv-what-is-a-libero-explained-baresi-beckenbauer-maguire-stones-202...png
 
Conte ndo Mwalimu karudisha Role ya "Libero" Miaka ya Karibuni EPL na ameirudisha kwa kumtumia D.Luiz
Upo Sahihi haikutumika kwa Miaka Mingi , OGS akamtumia Maguire kama Libero, Bayern alikuwa Hummels na Allegri alikuwa akimtumia Bonucci, Stones akiwa na England ametumika kama Libero Pia

LIBERO anakuwa ni Yule anayebaki nyuma ya Back line nzima, Role yao miaka ya Nyuma ilikuwa Imetawalina na "Sweeping" kwenye CATTENACCIO ila karibuni imeboreka mara nyingi wao wanakuwa Progressor kuanzia Phase ya kwanza,
Ndicho alichokuwa akifanya CONTE kwa Luiz kukaa kati ya Cahill + Zouma/Azpilicueta

View attachment 3099933
Unaweza kuwa na picha hata moja 'out of possession' ikionesha kati ya wachezaji uliowataja wakiwa deployed kama Libero? maana Msingi wa libero/ sweeper umejengeka hapa ni mchezaji anayekuwa nyuma ya stoppers 'Centre backs' ambao wanaperform man marking duties na libero akibaki kama spare defender kwenye zone nyuma yao, na msingi wa libero unaincorporate vyote i.e attacking and defensive principles, kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa ni ngumu ku deploy role ya libero cuz makocha wengi wamekuwa wakitumia zonal marking, msingi wa point yangu upo hapa, Luiz anaweza kutumika kama initiator wa mashambulizi timu ikiwa na mpira but that doesnt mean he was deployed as a libero.
 
Tunawasubiri,
Moja ya tatizo kubwa la arsenal ilikuwa ni kupata ushindi katika siku ambayo structure ya timu haiko vizuri,hili kidogo limeanza kukaa sawa.

Tuna tatizo kubwa sana la winning mentality,sio kushinda mechi bali kushinda msimu(kombe).kama arteta kaweza kusolve ishu ya defense ambayo hata mzee wenger ilimshinda kwenye miaka yake 8 ya mwisho basi hata hapa tutavuka
 
Sio saliba tu.hata saka pia kama hatutashinda kombe la maana msimu huu basi kuna hatari tukamkosa.Timu kama madrid,man city na hata psg kwa mbali siku wakija siriasi kwa saka na saliba basi hatutakuwa na nguvu ya kuwazuia
 
Tuna quality karibia kila eneo kasoro kwenye ushambuliaji.
Unaweza kuona hata game na fulham na aston villa msimu uliopita ambazo zilitukosesha ubingwa ni kutokana na ubutu wa safu ya ushambuliaji wala sio udhaifu wa defense
 
Kuna muda unasimama na timu kama mtu wa mpira,ila ukija kama shabiki ni risk kubwa mno kwa namna tulivyoanza msimu huku tukiwa na strike force ya
Harvets
Jesus
Martinel
Saka
 
Nahofia tusirudi zama za kupoteza elites na kuwa feeder wa giants kama tulivyowakosa kina Flamini,nasri,hleb,song,sanchez,van persie,sagna na clitchy na fabregas.
Hawa wote walifikia level ya kuwa world class na walikuwa loyal kwa timu na mashabiki.
Ila baada ya muda waligundua watamaliza muda wao bila kuacha alama na huko walikoenda karibia wote walishinda mataji la maana.
 
SADLY.
Soko halina quality au hata traditional no 9.walioko ni wazee au hawawezekani kabisa.
Unasajili mtu kwa 80-100m ila anaishia kukupa 10+goals na hii ndo sababu man u wanakomaa na marcus hata kama anaonekana mbovu.

January edu na arteta watalazimika kufanya walichokikataa kiangazi hiki au wakomae na EGO ya harvets ila mwisho wa msimu wapoteze baadhi ya mastaa.
Hakuna wa kulaumiwa, ila chido obi hakupaswa kuondoka japo huwezi shake wage structure kwa ajili ya mtu mmoja.ila tutalipia.
Ni ama wamrudie sesko au wabeti kwa gyokeres.timu lazima itoboke tu
 
Katika zama hizi tutake tusitake saliba na saka ni toptop quality.
Wamefanya kwa kujirudia kitu kilekile kwa zaidi ya misimu mitatu.nani hataki wachezaji kama hawa.

Dunia inaenda kasi,mashabiki wako kasi,soko liko kasi,matarajio ni ya juu halafu unakutana na FFP,lazima uchanganyikiwe.
 
Back
Top Bottom