Ili kuweka Mambo sawa, Atalanta inabidi apigwe kuanzia 4French referee, Clément Turpin will take charge of Atalanta Vs Arsenal on Thursday. #UCL
View attachment 3099555
We will be thereIli kuweka Mambo sawa, Atalanta inabidi apigwe kuanzia 4
Tutamaliza hii hatua Kati ya 1-4
Unakaribishwa Sana
| Pep Guardiola: “The question isn’t can we beat Arsenal, it’s can we score.”Hakamiwi ila watu wanafunga njia...yaani kifupi hakuna kupata huduma ya pasi yyte...abaki anazurura na lile ndonga lake....j2 unganeni nao mkibana sehemu nyeti Ili wapate goli ila hawatapata kitu....tunataka kumaliza ligi tumefungwa goli zisizozidi kumi tuAtawafungaje wakati mnamkamia gab kila mahala anaenda nae mpk dressng room na contena juu mnaweka, halafu kwa hayo mazoea kila mkikutana na city mnaweka contena, kipara anasuka tu kafoko lift kake. mtakuja kulia viazi nyie.
Conte ndo Mwalimu karudisha Role ya "Libero" Miaka ya Karibuni EPL na ameirudisha kwa kumtumia D.LuizNapingana nawe kusema Conte alimtumia Luiz kama Libero, libero inapatikana kwenye system catenaccio, so ni ngumu kucheza hii system wakati unafanya zonal marking, often libero anakuwa last man in defence so anadefend zone btn the GK and CB, sasa huyu often anaua ile offside trap hivyo inaleta ugumu kupress highline, high line mara nyingi inataka the flat back four, wataliano wametumia sana hii sytem cuz hawakuwa na zonal marking before arrigo sacchi na pili wanatendency ya kudefend deep per 90.
Unaweza kuwa na picha hata moja 'out of possession' ikionesha kati ya wachezaji uliowataja wakiwa deployed kama Libero? maana Msingi wa libero/ sweeper umejengeka hapa ni mchezaji anayekuwa nyuma ya stoppers 'Centre backs' ambao wanaperform man marking duties na libero akibaki kama spare defender kwenye zone nyuma yao, na msingi wa libero unaincorporate vyote i.e attacking and defensive principles, kwa miaka ya hivi karibuni imekuwa ni ngumu ku deploy role ya libero cuz makocha wengi wamekuwa wakitumia zonal marking, msingi wa point yangu upo hapa, Luiz anaweza kutumika kama initiator wa mashambulizi timu ikiwa na mpira but that doesnt mean he was deployed as a libero.Conte ndo Mwalimu karudisha Role ya "Libero" Miaka ya Karibuni EPL na ameirudisha kwa kumtumia D.Luiz
Upo Sahihi haikutumika kwa Miaka Mingi , OGS akamtumia Maguire kama Libero, Bayern alikuwa Hummels na Allegri alikuwa akimtumia Bonucci, Stones akiwa na England ametumika kama Libero Pia
LIBERO anakuwa ni Yule anayebaki nyuma ya Back line nzima, Role yao miaka ya Nyuma ilikuwa Imetawalina na "Sweeping" kwenye CATTENACCIO ila karibuni imeboreka mara nyingi wao wanakuwa Progressor kuanzia Phase ya kwanza,
Ndicho alichokuwa akifanya CONTE kwa Luiz kukaa kati ya Cahill + Zouma/Azpilicueta
View attachment 3099933
Njama za kumshusha Pep