D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,021
Yupo vyema?roger fernandes wa sc braga
Yupo vyema?roger fernandes wa sc braga
ee afu n bei ndogYupo vyema?
ndo scouts wa man u chaguo lao ilo dili la quenda kitambo tu walikua wanajua mchawi chelsearoger fernandes wa sc braga
Man United walishasajili beki wa kulia toka dirisha dogo atajiunga na timu dirisha kubwa anaitwa LeonQuenda to chelsea sijafurahia taarifa hizi, tusubirie wilcox na vivell watatuletea chaguo lipi.
maisha ya kumuangalia dalot kila wiki yapungue
Unamaanisha leon atacheza upande wa kulia na dorgu atacheza upande wa kushoto.Man United walishasajili beki wa kulia toka dirisha dogo atajiunga na timu dirisha kubwa anaitwa Leon
Tetesi za usajili wa midfield hazisikiki na ndio eneo moja muhimu zaidi.Man United walishasajili beki wa kulia toka dirisha dogo atajiunga na timu dirisha kubwa anaitwa Leon
wakafanye nn?Kelele nyingi kumbe hakuna mchezaji aliyeitwa timu ya Taifa
Hahahawakafanye nn?
nipe correct score ya asenyo vs chelkenge 😁Hahaha
Yule jamaa anaetabirigi humu awapumzishe hivyo hivyo mpaka mchukue ndoo wanangu.


nilichogundua allypipi ni ambassador wa muhindi, hivyo kazi yake humu anaifanya kwa ueledi wa hali ya juu, nina uhakika bila juhudi binafsi ya allypipi kanjibai hatoboi kwenye biashara ya mikeka. Correct score sina ila kuna timu mbili hata Arsenal iwe hovyo vipi hua hawachomoki na ushindi.nipe correct score ya asenyo vs chelkenge 😁
🤣 asenyo mna jinxCorrect score sina ila kuna timu mbili hata Arsenal iwe hovyo vipi hua hawachomoki na ushindi.
Kenge na nyumbu
zipo wanasubiri wa offload majira ya kiangazi apo kina casemiro, ericksen na dogo mainoo analeta tamaa wakimuuza wapate fundsTetesi za usajili wa midfield hazisikiki na ndio eneo moja muhimu zaidi.
Siyo tamaa.zipo wanasubiri wa offload majira ya kiangazi apo kina casemiro, ericksen na dogo mainoo analeta tamaa wakimuuza wapate funds
tetesi ni ederson wa atalanta
wakina nani? haoSiyo tamaa.
Ni madhara wage structure ambayo inampa mwingine mshahara mkubwa na anakaa benchi. Au youngsters wanatoka Arsenal wanafika kuanza na salary ya juu.
Lazima na yeye wampandishie
Tuliawakina nani? hao