Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Siyo tamaa.

Ni madhara wage structure ambayo inampa mwingine mshahara mkubwa na anakaa benchi. Au youngsters wanatoka Arsenal wanafika kuanza na salary ya juu.

Lazima na yeye wampandishie
wakina nani? hao
 
Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro hawa kinashuka kwenda kuwaramba ware Leicester.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Leicester city 1 vs Manchester United 3

Tutapiga kama ngoma leo.
1742147287832.jpg
 
Kwa knowledge yangu ya mpira naona Leicester anafungwa. Siyo kwakua nyumbu wako vizuri ila ni kwakua Leicester wako hovyo zaidi na Ruud bado ideas zake kwenye defense ni za hovyo.

Kinachofanya niamini Leicester ina chance ya kushinda ni utabiri uliofanywa na Tambitambi hapo juu
 
We nae una makelel, bebeni uefa mlingane na notingham
Jinga kbsaa
Mara nyingi tumekua hatuendi zaidi ya maneno ambayo tumepachikana, liverkuku, chelkenge, nyumbu, punda, manure, manyoo n.k

Arsenal imepachikwa majina pia na watu wakiingia huo uzi wanayaandika. Kumjibu au kutomjibu mtu ni uamuzi, isipokua ukiamua kumjibu huji na haya matusi.

Huna haja ya kukasirika. Waweza niblock au waweza nijia na hoja na logic za mpira ila siyo hiki ulichofanya
 
Pira biriyani
Pira sambusa
Pira udambwiudambwi

Wahuni waleeeeee hawashuki Tena daraja😁😁😁😁😁
Hivi kuna mtu alimuamini hamis77 kuwa United hii inashuka daraja!
Siku arsenal akichukua ndoo ya UCL, msimu unaofuta ndio tutashuka daraja. Fikiria Arsenal ya arteta kubeba UCL sasa.
 
Hivi kuna mtu alimuamini hamis77 kuwa United hii inashuka daraja!
Siku arsenal akichukua ndoo ya UCL, msimu unaofuta ndio tutashuka daraja. Fikiria Arsenal ya arteta kubeba UCL sasa.
Kwa msimu huu hamshuki daraja kwakua walio chini yenu ni wabovu zaidi.

Ila msimu ujao kazi mnayo
 
Back
Top Bottom