Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_2645.png

Ujuo wa Sir Jim umekuja kuiokoa timu yetu, Richard Anord ni mtu wa rugby/ Ed Woodward ni banker.

Ndio maana kulikua na bad decisions kwenye kila kitu kuanzia usajiri wa wachezaji, mishahara ya wachezaji iko very high, scouts team

Ukiangalia toka ujio wa INEOUS tumesajiri wachezaji wadogo wenye vipaji na burgain ya mishahara sahihi,

Angalia INEOUS walichotuletea
1. Mazrour
2. Delight
3. Heaven
4. Chido
5. Dogo mwenye uraia wa senegal
6. Dorgu
7. Ugarte
8. Fundi wa mpira zirkzee

Then fananisha na sajiri za kina Woodward na viwango vya mishahara, mbingu na ardhi
 
Yule jamaa anaetabirigi humu awapumzishe hivyo hivyo mpaka mchukue ndoo wanangu.
nilichogundua allypipi ni ambassador wa muhindi, hivyo kazi yake humu anaifanya kwa ueledi wa hali ya juu, nina uhakika bila juhudi binafsi ya allypipi kanjibai hatoboi kwenye biashara ya mikeka.
images-1.jpg
images.jpg
images-2.jpg
 
zipo wanasubiri wa offload majira ya kiangazi apo kina casemiro, ericksen na dogo mainoo analeta tamaa wakimuuza wapate funds
tetesi ni ederson wa atalanta
Siyo tamaa.

Ni madhara wage structure ambayo inampa mwingine mshahara mkubwa na anakaa benchi. Au youngsters wanatoka Arsenal wanafika kuanza na salary ya juu.

Lazima na yeye wampandishie
 
Siyo tamaa.

Ni madhara wage structure ambayo inampa mwingine mshahara mkubwa na anakaa benchi. Au youngsters wanatoka Arsenal wanafika kuanza na salary ya juu.

Lazima na yeye wampandishie
wakina nani? hao
 
Kikosi cha watoto wa bwenyenye Sir Jim Ratcliffe barobaro hawa kinashuka kwenda kuwaramba ware Leicester.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha 😁 😁 😁

My prediction

Leicester city 1 vs Manchester United 3

Tutapiga kama ngoma leo.
1742147287832.jpg
 
Back
Top Bottom