mozilla
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 789
- 1,264
Watu wanatetea ugalimaana siyo kwa mikataba ile. De Gea kutoka €23m kwa mwaka mpaka €3m.
Hivi vijamaa vinakwepa kuuzwa ila msimu huu ndiyo mwisho, United wakubali hasara tu asiongezewe mtu mkataba.
Yaani luke shaw kwenye Euro kacheza mechi mbili tu, ina maana kapata injury lini?
maana siyo kwa mikataba ile. De Gea kutoka €23m kwa mwaka mpaka €3m.
