Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Habari za siku nyingi ndugu zangu, naomba nitoe muono wangu kuelekea msimu unao kuja kwa upande wetu.

Kwa mtazamo wangu naona tunaenda kuanza msimu huu tukiwa bado sio timu tishio kwenye ligi, na hii ni kutokana na ukweli kwamba timu yetu bado ni dhaifu kulinganisha na wapinzani wetu wakubwa kwenye ligi, mfano, kwa maana ya Man City na Arsenal, huku Liverpool ni ngumu kumsemea. Na pia aina ya usajili unaonyesha kwa kiasi kikubwa ni wa malengo ya muda mrefu.

Kwa malengo halisia nadhani kama tukimaliza msimu ndani ya top four na bonus ya kikombe kingine kidogo kwangu itakuwa ni fair kabisa. Ikitokea zaid ya hapo basi ni Bonus tu.

Kwa upande wa usajili kwa msimu huu nitafurahi zaiidi kama tutasajili DM mmoja wa maana. Hapo kwa mtazamo wangu tutakuwa tayari kuanza msimu mpya. Najua inaweza kuwa ni process ndefu kupata ile cream lakini binafsi naona kuna dalili njema kwa kuangalia sajili zilizo fanyika. Ila tuna kazi nzito ya kupunguza watu wasio faa pia.

PIli nadhani tuna shida kubwa either kwenye timu ya madaktari, ili tuweze kusogea tunahitaji wachezaji wawe fiti kwa muda mwingi. Pamoja na kuwa na timu dhaifu ila Kwa namna moja ama nyingine majeruhi mengi yametufelisha zaidi kwa msimu jana. Kama ni watu wa kujifunza basi naamini uongozi pamoja na medical team wemeliona hilo na watalifanyia kazi.( Kama sababu zipo ndani ya uwezo wa binadamu)

Binafsi naona msimu huu unaweza kuwa ni mzuri kuliko misimu miwili iliyo pita. Na ninaamini tunaweza kuanza kutengeneza identity yetu. Ila kikubwa tusiwe na matarajio makubwa ili tuweze ku enjoy,
GGM
 
IMG-20240813-WA0034.jpg
IMG-20240813-WA0040.jpg
 

Jang Hyuk!
Mkuu Hizi Biashara Bila Makombe Hamna cha Maana ambacho Mmefanya + Hapa Hujaweka Biashara ya KAI na Mbadala wake PALMER
ARSENAL wengi Mna "HOPE" & "UVUMILIVU" Ila miaka hii kuna U-arrogant Mpo nao

Msimu Huu Mkuu Arsenal ni wa 6 Kwa Arteta!
Msimu Ulopita mmekusanya Point 22 dhidi ya Zile Big 6! Kitu kigumu sana Hiki nyie kukirudia. Ligi ya Msimu huu ni Ngumu sana kwenu sababu ya PRESSURE ya Kuchukua Mataji na Mna kikosi Finyu Mno tofauti na namna mnaboresha.

Project za Kimpira zote Baada ya Miaka 3, Huwa zinafanyiwa Reshuffling! Huu ni Mwaka wa 6 na Arteta ikimaanisha ni Project namba 2! Huu Msimu Hata UTD inaweza toa Suprise
 
Upo Sahihi!
Ila Kitu ambacho Ni Uhalisia Misimu Miwili iliyopita ARSENAL Ilikuwa timu Bora katika Ligi, Kilichokuwa kinaleta Tofauti na CITY Ni Utimamu wa Kiakili na Mwalimu.

Msimu huu Unakuwa Mgumu zaidi kwa Arsenal kwa sababu ya Demand toka kwa Mashabiki na Wachezaji wenyewe kujipush zaidi, Ila waza unapata Injury hata Mbili mf, SALIBA + SAKA

UTD
kwa sasa timu ina ile hali ya kutegemeana na kuweza Badilika tofauti na Mpinzani, Zirkzee na Hojlund, Yoro na De ligt, Marzaoui na Dalot, Pia tuna watoto wa Academy ambao hawa ni Msingi wa Mentality ya Ushindi AMAD, GARNACHO, MAINOO, Kuna maboresho machache kuwa Force ya Muendelezo Madirisha kama Mawili Mbele.
Nyumbu nu nyumbu tu, unaandika kinafiki tu, eet msimu mgumuu kwa arsenal, oya tusha toka uko na palipo baki Ni kuvibeba

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
 
Nyumbu nu nyumbu tu, unaandika kinafiki tu, eet msimu mgumuu kwa arsenal, oya tusha toka uko na palipo baki Ni kuvibeba

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app

Najua unataka Zungumza Mpira Kumbe unaweka Kejeli!

Sasa Chatta ARSENAL Ina Mafanikio yapi unayosema Mmeshatoka Huko? Nionyeshe Kombe Moja zaidi ya MAN UTD unaowaita Nyumbu kwa Miaka 6 ya ARTETA.
Hakunaga Mshindi wa Pili, Wewe ni Msindikizaji {Runners Up}

Una UCL, EPL, CARABAO, FA, + International Games, Arsenal ni moja ya Timu ilotumia Kikosi kimoja kwa Muda Mrefu, Msimu juzi aliumia SALIBA timu ikabadlika kabisa, Swali Akiumia SAKA + SALIBA Mbadala wa Ubora kama Huo Mpo naye?

Chatta g Jitahidi kuwaza Bila kuweka Mahaba kwenye Mpira, hamis77 Huwa anawaongopea ndo namna Mnaipenda Sikia, Usiwe Biased Mpira ni Mchezo wa wazi na Una kikosi finyu, Sub ya CF bado ni Nketiah Kufikia sasa!
 
Nyumbu nu nyumbu tu, unaandika kinafiki tu, eet msimu mgumuu kwa arsenal, oya tusha toka uko na palipo baki Ni kuvibeba

Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Labda mbebe Mimba, tena msimu huu mkijitahidi sana mtashika nafasi ya 4.
Tafuteni kocha wa kueleweka, kwa huyo Tetea wenu kila msimu hakuna mtachopata zaidi ya Emirates Cup.
 
Najua unataka Zungumza Mpira Kumbe unaweka Kejeli!

Sasa Chatta ARSENAL Ina Mafanikio yapi unayosema Mmeshatoka Huko? Nionyeshe Kombe Moja zaidi ya MAN UTD unaowaita Nyumbu kwa Miaka 6 ya ARTETA.
Hakunaga Mshindi wa Pili, Wewe ni Msindikizaji {Runners Up}

Una UCL, EPL, CARABAO, FA, + International Games, Arsenal ni moja ya Timu ilotumia Kikosi kimoja kwa Muda Mrefu, Msimu juzi aliumia SALIBA timu ikabadlika kabisa, Swali Akiumia SAKA + SALIBA Mbadala wa Ubora kama Huo Mpo naye?

Chatta g Jitahidi kuwaza Bila kuweka Mahaba kwenye Mpira, hamis77 Huwa anawaongopea ndo namna Mnaipenda Sikia, Usiwe Biased Mpira ni Mchezo wa wazi na Una kikosi finyu, Sub ya CF bado ni Nketiah Kufikia sasa!
Hawa vijana Masingeli aliwaharibu sana kwa zile false hopes za kinafki, ilifikia kipindi Masingile aliwaaminisha kua Arsenyo ni bora kuliko Madrid na misukule yote ikaamini hivyo.
Sometimes hua naamini mashabiki wengi wa hii timu psychologically hawako sawa.
 
Najua unataka Zungumza Mpira Kumbe unaweka Kejeli!

Sasa Chatta ARSENAL Ina Mafanikio yapi unayosema Mmeshatoka Huko? Nionyeshe Kombe Moja zaidi ya MAN UTD unaowaita Nyumbu kwa Miaka 6 ya ARTETA.
Hakunaga Mshindi wa Pili, Wewe ni Msindikizaji {Runners Up}

Una UCL, EPL, CARABAO, FA, + International Games, Arsenal ni moja ya Timu ilotumia Kikosi kimoja kwa Muda Mrefu, Msimu juzi aliumia SALIBA timu ikabadlika kabisa, Swali Akiumia SAKA + SALIBA Mbadala wa Ubora kama Huo Mpo naye?

Chatta g Jitahidi kuwaza Bila kuweka Mahaba kwenye Mpira, hamis77 Huwa anawaongopea ndo namna Mnaipenda Sikia, Usiwe Biased Mpira ni Mchezo wa wazi na Una kikosi finyu, Sub ya CF bado ni Nketiah Kufikia sasa!

Baadhi ya mashabiki wa asernal ni wajinga sana, uwa nawashangaa wanavyoidharau Man Utd utafikiri wametupita mafanikio au sijui ni wadogo kiumri

Mara ya mwisho asernal kuchukua EPL ni msimu wa 2003/2004 unbeaten ishapita miaka 20 mpaka sasa, wakati Manchester United mara ya mwisho 2012/2013 ishapita miaka 10 mpaka sasa

Na usishangae UTD ikaja imarika ikabeba EPL kabla yao, tuombe uhai na afya

Maana asernal walipaswa wabebe EPL last season, mpaka January walikua wamempita City points 15, sasa kama walishindwa hapa wataweza lini tena?

ETG ana misimu mibaya ila ana cha kuonyesha, Carling cup moja na FA moja, na hiki ndio kitu INEOS iliyowapelekea kumuongezea mkataba

Sijui Arteta ana chakuonyesha nini ktk miaka yake 8 pale Emirates
 
Najua unataka Zungumza Mpira Kumbe unaweka Kejeli!

Sasa Chatta ARSENAL Ina Mafanikio yapi unayosema Mmeshatoka Huko? Nionyeshe Kombe Moja zaidi ya MAN UTD unaowaita Nyumbu kwa Miaka 6 ya ARTETA.
Hakunaga Mshindi wa Pili, Wewe ni Msindikizaji {Runners Up}

Una UCL, EPL, CARABAO, FA, + International Games, Arsenal ni moja ya Timu ilotumia Kikosi kimoja kwa Muda Mrefu, Msimu juzi aliumia SALIBA timu ikabadlika kabisa, Swali Akiumia SAKA + SALIBA Mbadala wa Ubora kama Huo Mpo naye?

Chatta g Jitahidi kuwaza Bila kuweka Mahaba kwenye Mpira, hamis77 Huwa anawaongopea ndo namna Mnaipenda Sikia, Usiwe Biased Mpira ni Mchezo wa wazi na Una kikosi finyu, Sub ya CF bado ni Nketiah Kufikia sasa!
Ulianza vizuri Ila umeharibu mwishoni, kwakua na weww umekalilishwa.

Hamis ndio Nani?

Nae si shabiki tu kama ulivyo wewe.

Kwani yeye ndie anae angalia mpira peke ak? Au yeye ndie anaeona maendeleo ya arsenal na sisi hatuoni?
 
Labda mbebe Mimba, tena msimu huu mkijitahidi sana mtashika nafasi ya 4.
Tafuteni kocha wa kueleweka, kwa huyo Tetea wenu kila msimu hakuna mtachopata zaidi ya Emirates Cup.
Haya tuambie kocha wa kueleweka nani kwa sasa, unashauri tumchukue??
 
Back
Top Bottom