IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,805
- 7,258
Hello Mahasimu, Niwapongeze kwa kumuuza Wanbissaka, Moja ya mabeki ambao sijawahi kuwaelewa. Sasa uzeni hilo pazia la golini, Tafuteni kipa wa kueleweka.
Said BahanuziHivi yule dogo aliingia sub mechi against city, kiungo anaitwa nani?? Nliona ni machine Kali sana
Nyumbu nu nyumbu tu, unaandika kinafiki tu, eet msimu mgumuu kwa arsenal, oya tusha toka uko na palipo baki Ni kuvibebaUpo Sahihi!
Ila Kitu ambacho Ni Uhalisia Misimu Miwili iliyopita ARSENAL Ilikuwa timu Bora katika Ligi, Kilichokuwa kinaleta Tofauti na CITY Ni Utimamu wa Kiakili na Mwalimu.
Msimu huu Unakuwa Mgumu zaidi kwa Arsenal kwa sababu ya Demand toka kwa Mashabiki na Wachezaji wenyewe kujipush zaidi, Ila waza unapata Injury hata Mbili mf, SALIBA + SAKA
UTD kwa sasa timu ina ile hali ya kutegemeana na kuweza Badilika tofauti na Mpinzani, Zirkzee na Hojlund, Yoro na De ligt, Marzaoui na Dalot, Pia tuna watoto wa Academy ambao hawa ni Msingi wa Mentality ya Ushindi AMAD, GARNACHO, MAINOO, Kuna maboresho machache kuwa Force ya Muendelezo Madirisha kama Mawili Mbele.
Kubeba nini ewe Arse8?Nyumbu nu nyumbu tu, unaandika kinafiki tu, eet msimu mgumuu kwa arsenal, oya tusha toka uko na palipo baki Ni kuvibeba
Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Nyumbu nu nyumbu tu, unaandika kinafiki tu, eet msimu mgumuu kwa arsenal, oya tusha toka uko na palipo baki Ni kuvibeba
Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app
Nyumbu nu nyumbu tu, unaandika kinafiki tu, eet msimu mgumuu kwa arsenal, oya tusha toka uko na palipo baki Ni kuvibeba
Sent from my itel P32 using JamiiForums mobile app


Labda mbebe Mimba, tena msimu huu mkijitahidi sana mtashika nafasi ya 4.Najua unataka Zungumza Mpira Kumbe unaweka Kejeli!
Sasa Chatta ARSENAL Ina Mafanikio yapi unayosema Mmeshatoka Huko? Nionyeshe Kombe Moja zaidi ya MAN UTD unaowaita Nyumbu kwa Miaka 6 ya ARTETA.
Hakunaga Mshindi wa Pili, Wewe ni Msindikizaji {Runners Up}
Una UCL, EPL, CARABAO, FA, + International Games, Arsenal ni moja ya Timu ilotumia Kikosi kimoja kwa Muda Mrefu, Msimu juzi aliumia SALIBA timu ikabadlika kabisa, Swali Akiumia SAKA + SALIBA Mbadala wa Ubora kama Huo Mpo naye?
Chatta g Jitahidi kuwaza Bila kuweka Mahaba kwenye Mpira, hamis77 Huwa anawaongopea ndo namna Mnaipenda Sikia, Usiwe Biased Mpira ni Mchezo wa wazi na Una kikosi finyu, Sub ya CF bado ni Nketiah Kufikia sasa!


Hawa vijana Masingeli aliwaharibu sana kwa zile false hopes za kinafki, ilifikia kipindi Masingile aliwaaminisha kua Arsenyo ni bora kuliko Madrid na misukule yote ikaamini hivyo. Najua unataka Zungumza Mpira Kumbe unaweka Kejeli!
Sasa Chatta ARSENAL Ina Mafanikio yapi unayosema Mmeshatoka Huko? Nionyeshe Kombe Moja zaidi ya MAN UTD unaowaita Nyumbu kwa Miaka 6 ya ARTETA.
Hakunaga Mshindi wa Pili, Wewe ni Msindikizaji {Runners Up}
Una UCL, EPL, CARABAO, FA, + International Games, Arsenal ni moja ya Timu ilotumia Kikosi kimoja kwa Muda Mrefu, Msimu juzi aliumia SALIBA timu ikabadlika kabisa, Swali Akiumia SAKA + SALIBA Mbadala wa Ubora kama Huo Mpo naye?
Chatta g Jitahidi kuwaza Bila kuweka Mahaba kwenye Mpira, hamis77 Huwa anawaongopea ndo namna Mnaipenda Sikia, Usiwe Biased Mpira ni Mchezo wa wazi na Una kikosi finyu, Sub ya CF bado ni Nketiah Kufikia sasa!
Unafananishaje lunch anayoandaliwa GSM na MANARA?
CollyerHivi yule dogo aliingia sub mechi against city, kiungo anaitwa nani?? Nliona ni machine Kali sana
Ulianza vizuri Ila umeharibu mwishoni, kwakua na weww umekalilishwa.Najua unataka Zungumza Mpira Kumbe unaweka Kejeli!
Sasa Chatta ARSENAL Ina Mafanikio yapi unayosema Mmeshatoka Huko? Nionyeshe Kombe Moja zaidi ya MAN UTD unaowaita Nyumbu kwa Miaka 6 ya ARTETA.
Hakunaga Mshindi wa Pili, Wewe ni Msindikizaji {Runners Up}
Una UCL, EPL, CARABAO, FA, + International Games, Arsenal ni moja ya Timu ilotumia Kikosi kimoja kwa Muda Mrefu, Msimu juzi aliumia SALIBA timu ikabadlika kabisa, Swali Akiumia SAKA + SALIBA Mbadala wa Ubora kama Huo Mpo naye?
Chatta g Jitahidi kuwaza Bila kuweka Mahaba kwenye Mpira, hamis77 Huwa anawaongopea ndo namna Mnaipenda Sikia, Usiwe Biased Mpira ni Mchezo wa wazi na Una kikosi finyu, Sub ya CF bado ni Nketiah Kufikia sasa!
Haya tuambie kocha wa kueleweka nani kwa sasa, unashauri tumchukue??Labda mbebe Mimba, tena msimu huu mkijitahidi sana mtashika nafasi ya 4.
Tafuteni kocha wa kueleweka, kwa huyo Tetea wenu kila msimu hakuna mtachopata zaidi ya Emirates Cup.