Na huu ndio uchambuzi wa kitanzania, na wachambuzi wengi kwa redio zetu wana uwezo mdogo wa kufikiri kama huyu, kwamba tatizo ni saikoloji, yani Arsenal tuna timu bora kwa miaka mitatu nyuma kuliko hata Man city iliyochukua treble, typical Tanzanians.
Masta huwaga una hoja nzuri sana za kimpira ukitoa "UNAZI" Yani unawadhihaki
Timerlane na
Joh Doe katika hili!!
Hakuna
PROJECT Ya mpira inayozidi miaka 3. ARTETA Sasa anaenda miaka 7 kombe 1 na ametumia karibu
800m, Sajili zaidi ya 30 kwa kombe 1?? bado huamini kwamba ni Ishu pia Inahusiana na 'Mentality" zaidI
ARSENAL haina tatizo la kimbinu wala Ubora, Timu kubwa zimekosa matokeo kwake muda tu, Unadhani kwa nini timu haichukui makombe. (
Game kubwa mentality yao inabadilika )
Sporting CP wameitoa ARS Europa,
Bayern mbovu imekutoa UCL,
PSG (Ilobadilika Mentality) Imekutoa UCL.
Ukitaka jua thamani ya
MENTALITY katika mpira itizame Fainali ya mwaka huu,
Inter na PSG ni timu ambazo umekutana nazo zote na ukaonyesha ubora, ila wao wamefika hatua wanataka zaidi kukushinda.
Shida kubwa ya Arsenal ni
'CHARACTERS' hakuna watu kama
Keane, Vieira, Rodri, Wazza, Drogba, et al.
RICE Mnamsifia baada ya FK zake na Madrid, ila ni huyu huyu anafunga goli la kusawazisha na UTD anakimbilia kunyamazisha mashabiki (
Wenzake wanaotaka ushindi huwa wanabeba mpira kurudi kati chap kutafta Ushindi)
Unaisingizia CITY ya treble kuwa bora, haikuwa namna hiyo maana hata fainali ya Inter ni ubovu wa kina Lukaku zaidi ya Ubora wa mpinzani, Fainali yake na FA ni De gea aliwazawadia magoli ya Gundogan. (City bora ilikuwa ya msimu kabla ila
MENTALITY yao ilikuwa ya kutaka zaidi)
Granit Xhaka kuondoka kwake ni makosa makubwa sana. Hakuna mwenye kuonyesha Kutaka Ushindi zaidi mnapiga pasi hata maeneo ya ku-shoot!!