Twende taratibu tu mzee baba, February nimesema tutakua juu pale
Mmeshakuwa yanga wazee wa HesabuTwende taratibu tu mzee baba, February nimesema tutakua juu pale
Chelsea kasuluhu.
Lakini hakuna atakayeshangaa.
Nikisema standards naambiwa naongopa.




aah unajua nyinyi hili jukwaa mmelichukulia uwanja wa comedy nini?? Isije kuwa sisi kina flano na wengine tupo serious kumbe nyinyi wenzetu mmechukulia hapa ndo platform ya comedy nembu tuambiane mapema kabisa .Twende taratibu tu mzee baba, February nimesema tutakua juu pale
February around tarehe za 20, pale juu atakua arsenalUpo serious kaka au humu mnakuja kufanya comedy as arsenal fans?? Baada ya muda mnapotea jokes zikiiisha . Embu mtujuze mapema tushaanza kupata wasiwasi asee!!
Fact.Nani ashangae wakati kila mmoja anajua chelsea ndo kwanza anajitafuta. Kuna kipindi chelsea akidraw watu tulikua tunashangaa lakini sio sasa.
Enzo ndo kwanza hana hata miezi 5 ndani ya chelsea lakini yupo fresh , bado anaitafuta top 4 , arteta huu msimu wake wangap pale arsenal?
Labda nikukumbushe tu arteta ni msimu wa 6 huu with zero major trophies .
Arsenal kwenye best form yenu hamna kombe lolote lakujivunia , chelsea kwenye best form anajivunia uefa 2 epl kibao na europa kibao .
Arsenal ana standard gani mzeeeaah unajua nyinyi hili jukwaa mmelichukulia uwanja wa comedy nini?? Isije kuwa sisi kina flano na wengine tupo serious kumbe nyinyi wenzetu mmechukulia hapa ndo platform ya comedy nembu tuambiane mapema kabisa .


Ubingwa hamna, hiyo ni rasmi.We don't deserve to be champion... No hungry on this team. Kuna muda unaona mchezaji ana nafasi ya kupeleka mpira mbele lakini anafanya turn over mpaka unajiuliza anafikiria nini.
Arteta katufikisha hapa, ni majonzi tu 5 years.Sometimes hua inachekesha ila ndiyo inakua imeshatokea. We did everything wrong kuanzia team selection na ideas za Arteta mpaka team kuanzisha mashambulizi na kwenda mbele.
Tulicheza dhidi ya united Martinelli alipata mpira akawa 1 v 1 against Dalot akiwa katikati ya uwanja, akafalse dribble mpaka usawa wa ball boy kisha akageuka akarudisha mpira nyuma. Quality kubwa ya Martinelli ni pace, Henry akasema wakati anacheza mpira akigewa pasi akajikuta usawa wa ball boy basi huyo beki atakua na kazi ya kumkamata.
Decent wingers do this. Martinelli used to do this. Kisha ghafla timu nzima ina ugonjwa mmoja, sideways passes na back passes. Ndiyo sababu Nwaneri anaonekana threat kwavile yeye akipata mpira anafight kwenda mbele.
Mitandaoni unaona baadhi ya mashabiki wanasema pengine hii blessing in disguise. Itaforce kusajili. Nikawaambia ni ngumu kupata decent signing in January, wakajenga hoja mbona Virgil alisajiliwa January? I never knew this but haitoi ishara yoyote kwetu.
Kwanza, Arteta anasema anataka afocus na solutions za ndani, jana was among the internal solutions, pili haamini kama kuna fursa nzuri sokoni.
City smashed Westham 4 - 1. Uchawi upo blah blah but City is 11 points from first position kama akimsajili Omar na Ederson mpaka February inakuja tutakua na title race mpya kabisa.
Seriousness ya Arsenal inabidi ireflect nje ya uwanja. Dirisha hili
Twende taratibu tu mzee baba, February nimesema tutakua juu pale
You are delulu bro! Wote tunaipenda hii timu, ila daaaah mahaba yamekuzidi mzee.Twende taratibu tu mzee baba, February nimesema tutakua juu pale